Stiffler88
Senior Member
- Apr 23, 2017
- 158
- 504
Picnic Kitimoto_ Songea. Jamaa wanajua sana. Ipo Bombambili
Ugali sio nakula ila nafukia vibaya kuna siku nilipika dagaa wa Mwanza wale wa kwenye vipakti nikapika ugali wa unga nusu na robo nile mchana na jioni si unajua tena maisha ya ghetto kuepuka usumbufu kupika tena nikaweka kwenye hotpot kilichofuata nilikula msosi woooote mchana[emoji16][emoji16][emoji16]Basi uwe unakatumia hako ili usiwe unazidisha, unless uwe na wageni.
Karibu uniungishe
Npo mkoani dada maana bila shaka kabisa wewe upo jiji la Chalamila.Karibu uniungishe
Za chocolate moist zipo?Ikaenda kwa mteja.
I'm taking ordersπ€
Anne Cakesπ
Zile nataka niweke za package ndogondogo.Za chocolate moist zipo?
Mwamba Chalamila mzee wa hekaheka[emoji23]Npo mkoani dada maana bila shaka kabisa wewe upo jiji la Chalamila.
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
[emoji28][emoji28]jamaa comedy sana clips zake zilizagaa TwitterMwamba Chalamila mzee wa hekaheka[emoji23]
Inayonichekesha ni ile anaimba na mke wake[emoji28][emoji28]jamaa comedy sana clips zake zilizagaa Twitter
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Asante mama nipo nakula dinner hapo kwakoπ
Mama kijacho huyooo ππHomemade kisinia View attachment 2626269
Ars elf 9 1kg sangara.Dsm Sangara ni 7500 Ubungo, 8500 maeneo mengine
Huko wote watalii hivyo mnapigwa bei za kitalii.Ars elf 9 1kg sangara.
Sato elf 12.
Nyama 1kg 9000
Una matatizo gani lakini? ππ
Unaitwa Dr Restart uje kunywa chai