Uzi wa vyakula tu

hiyo bamia umeipikaje? yaani uliipitisha kwenye wese tu au vipi
maana sioni hata rangi ya nyanya.

hebu nipe maujanja namna ya kuitoa dizaini hiyo
Unaichemsha tu na chumvi kidogo unaweza kamulia limao kidogo sekunde 35 au 40 mi napenda ziwe mbichi mbichi sipendi ziive ziwe laini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…