Haha uwa mnapenda sana kuwekapo ka pilau. Ila haifikii utamu wa kande lenye nazi na peanut liliwe na parachichi.Kungekuwa na kapilau/wali kidogo pembeni ningelamba simu!π€€π΅
Mideko kuna siku huwa anakua nostaligic, anatembelea zake post za zamani alafu anatukumbusha na sisi kwa likes!βΊοΈπ
π³Nimemiss ugali. Mara ya mwisho nimeula Dar dec π
Kaka Mshanaπ
Nimetamani chai aisee na hivi gas imeisha π€£π€£π€£
Hamna birika hapo uchemshe maji fasta? Au microwave...Nimetamani chai aisee na hivi gas imeisha π€£π€£π€£
Hamna kabisa.Hamna birika hapo uchemshe maji fasta? Au microwave...
Hahaaa rich auntie mkoje jamaniHamna birika hapo uchemshe maji fasta? Au microwave...
Mimi nina Westpoint, kazini kuna Delsa. Zote ziko vizuri.Hamna kabisa.
Hivi microwave nzuri ni ya company gani?
ππ daaaah! Nitautaftia kitimoto kwanza b4 tumbo liusahauπ³
That's too long bana...kale hata kwa mama ntilie!π
Basi siku nyingine ukinunua jiko la gas tafuta yenye plate moja ya umeme, huwa kana-save sana siku kama hizi!Hamna kabisa.
Hivi microwave nzuri ni ya company gani?
Hamna cha rich auntie hapa...huyu ni always-find-a-short-cut auntie!ππHahaaa rich auntie mkoje jamani
Hadi maji wachemsha kwa microwave?
ππ waterdispenser hapo anasolve chap.
Usisahau kutupia tule kwa macho!!!ππ daaaah! Nitautaftia kitimoto kwanza b4 tumbo liusahau
Hebu naomba picha whatsapp if you donβt mindMimi nina Westpoint, kazini kuna Delsa. Zote ziko vizuri.
Ila naikubali hisense. Ina ka glass flan hivii makini sana kwa muonekano. Utendaji sijui
UtaikutaHebu naomba picha whatsapp if you donβt mind
Sasa unakoelekea utakufa njaa mdogo wangu umeanza kula kama Dr Lizzy au ndiyo unazingatia ushauri wa Janabi?Dinner