Uzi wa vyakula tu

Mnyamwezi wayomba vie.....una mnyeti wee mnyamwezi. Haya wagisi wotee ku kaya
 
Mnyamwezi wayomba vie.....una mnyeti wee mnyamwezi. Haya wagisi wotee ku kaya

Ahahahahaa mzab, nani amekuuma sikio...!!!?πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„.

Walomba hee, walomba henyaa...😁😁😁.

Kama hujapata viazi vitamu kuna mdada wa kingoni namfahamu ni mjasiriamali huyo anaweza kuvitafuta na kukuletea. Na anajua kupika hata ukitaka akupikie atapika kabisa. Umtumie tuu na ya kutolea na usafiri ila bidhaa inakuja na viwango TBS fulu.

Nikikupa namba yake, usiseme nimekupa, mwambie umeiona mtandaoni maana anaweb yake ya kuuza bidhaa anazotengeneza.

Ukimdondokeamo shauri yako, wangoni wanapenda mambo hayo ya kusukumana viunoni πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….
 
Sasa huyo ndio atanifaaa....maana analeta viazi na pia tunapeana raha
 


Raha jipe mwenyeweee....

Tutapewa mwili mpya tukifika mbeenguuneeee πŸ˜›.

Vurugumachi za Bi. Kasinde jikoni πŸ™‚.



Madhiwa na chokoletee πŸ˜‹.



Mutindiii unajaza tindiiigaa...🀩.




Frenchi tosti πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹.
All home made πŸ˜‰.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…