Sasa huko sio kukatika my dear.
Pia inategemea na kiwango inachoweka huo mtindi.
Kma ni wa kupika nyumbani au chakula cha watu wengi.
Bora masalo yako yawe na ladha ya viungo tatizo ni kwenye makisiaji ya viungo na masalo kuchemka vzuri.
Mtindi hua haukatiki hvyo ndo unavyokua ila sijui lbda kila mtu na mtindi anaopendelea kuweka.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwii kumbe sio kukatika kule ni nini sasa?
Mfano chakula cha watu wazima 3 na watoto 2 mtindi unatakiwa kiasi gani?
Ile pakti ya nusu huwa naigawa mara mbili, so naweka unaobaki unaenda kwenye matumizi mengine.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi mjinga,nimeacha kuangalia chakula nikaangalia mkono..[emoji16][emoji16]
Asante [emoji14]Nimependa kidole chako[emoji41]
Yaani nyie[emoji23] [emoji23]walahi kama mambo yenyewe ndo haya kwann nsihonge jamany
Hahah imebidi nirudi nikaangalie tena hiyo post nai crop sasaivi[emoji23]Kumbe hta sio pekeako mim niliangalia hio jeans[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hhhhhhaaa ikiwezkna unitumie pmHahah imebidi nirudi nikaangalie tena hiyo post nai crop sasaivi[emoji23]
Hii yenyewe..[emoji39]
Mbona kama ya kudownload!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenifurahisha sana ana agizasoda nakuja kulipaSijui kama lina ratiba ila anapika hatare hataree.tatizo anapumuliwa sijui Na huu msako kama amesalimika.humjui mtu anajiita mvuto wewe?