Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Sasa huko sio kukatika my dear.

Pia inategemea na kiwango inachoweka huo mtindi.

Kma ni wa kupika nyumbani au chakula cha watu wengi.

Bora masalo yako yawe na ladha ya viungo tatizo ni kwenye makisiaji ya viungo na masalo kuchemka vzuri.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwii kumbe sio kukatika kule ni nini sasa?

Mfano chakula cha watu wazima 3 na watoto 2 mtindi unatakiwa kiasi gani?

Ile pakti ya nusu huwa naigawa mara mbili, so naweka unaobaki unaenda kwenye matumizi mengine.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwii kumbe sio kukatika kule ni nini sasa?

Mfano chakula cha watu wazima 3 na watoto 2 mtindi unatakiwa kiasi gani?

Ile pakti ya nusu huwa naigawa mara mbili, so naweka unaobaki unaenda kwenye matumizi mengine.
Mtindi hua haukatiki hvyo ndo unavyokua ila sijui lbda kila mtu na mtindi anaopendelea kuweka.

Inawezekana pia unapoadd huo mtindi huachi masalo yakachemka vzur na viungo vyake kwasababu hata masalo yanapokua hayachemki vizur utahisi kama chengachenga.
 
[emoji119]
IMG_20181104_134148.jpeg
 
Back
Top Bottom