Twin mi mpenzi wa samaki kupita kiasi na other sea stuffs.....sasa pale samora posta kuna kimin hotel kinaitwa PADE INN....Jomoni ni wanajipilikisha balaaa!...Halafu napenda tambi kwa hiyo nikapakua nyingi [emoji23][emoji23][emoji23]kuweka mdomo nilimaliza kwa tabu sana kile chakula!!
Twin weekend moja nipeleke kwa chef kile basiiii
Twin mi mpenzi wa samaki kupita kiasi na other sea stuffs.....sasa pale samora posta kuna kimin hotel kinaitwa PADE INN....Jomoni ni wanajipilikisha balaaa!...
Ukimaliza ile ishu yako nistue twende pale!
Uwiiiiii....hivi we uko serious?[emoji15] [emoji15]Tuna ratiba ya December ujue najua utakua tu umeisahau
Uwiiiiii....hivi we uko serious?[emoji15] [emoji15]
Haaahaaa....I'm not related to such stuff, ilikuwa changamsha genge tu[emoji23] [emoji23] [emoji12]
Omg![emoji86] [emoji86] ....ipi hiyoo?Unachanganya Mambo, tuliza kichwa kumbuka vizuri!! Vitu viwili tofauti ile si tulishasema hatuendi
Omg![emoji86] [emoji86] ....ipi hiyoo?
Remind me please...
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23]Twin ahadi zako nitakua sizitilii maanani!!
Lol tumeugeuza uzi wa watu PM, tuondoke.
Hahahaa nmecheka sana mana na mm sina tofauti na simara kula yenyew sijawahi kupika ndo ntajua[emoji23][emoji23]Itakuwa inna unajua kupika pizza wewe[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Lol bora mmejishtukia hamieni whatsap apa ni maakuli tuTwin ahadi zako nitakua sizitilii maanani!!
Lol tumeugeuza uzi wa watu PM, tuondoke.
Hujawahi kula pizza?[emoji15] [emoji15]Hahahaa nmecheka sana mana na mm sina tofauti na simara kula yenyew sijawahi kupika ndo ntajua[emoji23][emoji23]
Unatutimua sio[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Lol bora mmejishtukia hamieni whatsap apa ni maakuli tu
Ndio[emoji23][emoji23]..nmekula ya uchochoronHujawahi kula pizza?[emoji15] [emoji15]
Ha ha..powazzzNdio[emoji23][emoji23]..nmekula ya uchochoron
EeehUnatutimua sio[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kweli lkn...bora twin kastuka ananijua navyojiachiaga....yaan hapa napageuzaga what's up halafu sishtuki mpaka mtu anistue[emoji86] [emoji86]Eeeh
Maana mnaeza jisahau mkamwaga siri apa
Hii ni beingdouble sasa....Mixed fruits smoothie View attachment 930157
Vipi Mkuu nilikua sijaona uliponita.Napendaga hii kitu sema sijui kuipika home. AmorEy Kama unajua mapishi ni PM au Kama Mimi unaisubiria mezani?[emoji3][emoji3]
Weekend inaonekna ilikua tam ajab.
Chakula chako ulopost mbona sijakiona.Kweli lkn...bora twin kastuka ananijua navyojiachiaga....yaan hapa napageuzaga what's up halafu sishtuki mpaka mtu anistue[emoji86] [emoji86]