Uzi wa vyakula tu

Halafu napenda tambi kwa hiyo nikapakua nyingi [emoji23][emoji23][emoji23]kuweka mdomo nilimaliza kwa tabu sana kile chakula!!

Twin weekend moja nipeleke kwa chef kile basiiii
Twin mi mpenzi wa samaki kupita kiasi na other sea stuffs.....sasa pale samora posta kuna kimin hotel kinaitwa PADE INN....Jomoni ni wanajipilikisha balaaa!...

Ukimaliza ile ishu yako nistue twende pale!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…