Uzi wa vyakula tu

Ww mwenyewe inaonekana mwanaume wa Dar, sasa hicho tuwali unatuona twingi?

Btw naona picha nyingi ni za chips yai , mleta mada badilisha heading na iwe " Uzi wa vyakula vya Dar"

Sisi wa mikoani tunakula kumaliza na sio kushiba.
Haha huu msemo unanifurahishaga kweli eti hatuli kushiba tunakula kumaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…