Uzi wa vyakula tu

Kama hujaoa mwanamke utakayemuoa atapata shida sana kama hajui kupika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
Na kwa vile sitaki apate taabu, na kwa kulijua hilo
Ndio maana posa ipo njiani kuelekea unguja kwa mkwe wangu farkhina
Nachukua jiko la mtoto wa fundi.

"mtoto wa fundi, nae fundi atiii"
Ushanifahamu......??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…