Uzi wa vyakula tu

View attachment 1347723 kitu cha oven perfect...
Mkaa aiseeh sikumbuki mara ya mwisho lini nilitumia kupikia cake I think 20 years ago wakati niko home sijaolewa[emoji23]



Sent from my iPhone using JamiiForums

Mie naupenda upishi wa mkaa yaani kuna vyakula hupati ladha hasa murua kama ile ya mkaa mfano mikate ya ufuta,mishkaki ubwabwa ule wa kuweka makaa juu[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39].

Vyakula vyengine naripua tu kwenye pressure cooker maisha yaende hususan kama vile una watoto wadogo.
 

Mie mwenyewe nlikua najiuliza ivo ivo [emoji23] ila MaashaAllah she is the best. Mtu apewe sifa yake
 

Ni kweli kabisa mkate wa ufuta mwenzie mkaa..
Mimi wali wa rice cooker siuwezi kabisa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…