Menu imekaa vizuri sana hii,vipande 3 vya mihogo,nusu kuku na kachumbari nyingi,hapo unamalizia na soda baridi,ukimaliza baada ya kama dlk 10 lazima upitiwe na kausingizi flani hivi....#Mihogo point
Mwenge View attachment 1452385
Hizi chia zinasaidia nini? Then ukimix na Parachichi je?Ndizi parachch asali chia seeds na mtindi
Juice saafi kunywa glass moja umeshiba View attachment 1452370View attachment 1452371
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ww mi nagonga hapa hufunguiView attachment 1450918
Mchana mwema
Smooth sio juice tena, kwa kiswahili sijui inaitwajeNdizi parachch asali chia seeds na mtindi
Juice saafi kunywa glass moja umeshiba View attachment 1452370View attachment 1452371
Sent using Jamii Forums mobile app
Smooth sio juice tena, kwa kiswahili sijui inaitwaje
Hizi chia zinasaidia nini? Then ukimix na Parachichi je?
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Na hazitumiki kwenye kusaidia kupunguza uzito?
Ni tsh 5000
Na leo jumapili basi burudaniiMenu imekaa vizuri sana hii,vipande 3 vya mihogo,nusu kuku na kachumbari nyingi,hapo unamalizia na soda baridi,ukimaliza baada ya kama dlk 10 lazima upitiwe na kausingizi flani hivi....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huu msosi unaandaa we mwenyewe, shemeji yetu au kuna mahala unanunua?
Hapana kuna mwana ndio fundiMkuu huu msosi unaandaa we mwenyewe, shemeji yetu au kuna mahala unanunua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hazitumiki kwenye kusaidia kupunguza uzito?
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Halafu limechanganywa na parachichi lenye mafuta?!
Halafu limechanganywa na parachichi lenye mafuta?!
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Ume marinate na viungo gan hapa?Hawa huwa wanaishia jikoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1450890
Limao, soya sauce kidogo, pilipili mtama majani ya kotmir na girigilani kidogo,vitunguu swaum na chumvi.Ume marinate na viungo gan hapa?