Uzi wa vyakula tu

Ninavyo jua kama unataka kupungua

Unazichanganya na mtindi maana mtindi nao ni mzur kwa mtu anaetaka kupungua so unachanganya na mtindi unaweka kweny fridge mpaka dk 30 hadi 40 unakunywaa


Kwa wale wanaotaka kujenga mwil mfano watu wa gym ndio wanachanganya na vitu vingine mfano ndizi na maparachch
Halafu limechanganywa na parachichi lenye mafuta?!

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…