Uzi wa vyakula tu

Vidonge gani?
Megestrol,metaclopramide n.k..

Hizi dawa nyingi zinatumiwa na wanaotaka kujenga miili maana zinasifa ya kumfanya mtu awe na appetite na kula zaidi..sio nzuri sana maana nyingi zinatengenezwa kutoka kwenye mfanano wa progesterone na testosterone(sex hormones)

Jaribu kutafuta njia za asili
 
Njia za asili zimenishinda kabisa..na hivi dkt ananiambia nisifanye mchezo kwenye kula.
Nitazitumia hata kidogo tu ili nile Sana nipone hivi vidonda vya tumbo.
 
Akhsante dear[emoji3526][emoji3526]
Najihisi kupona jinsi mnavyonijali
Binafsi naelewa ni magumu gani unayopitia kutokana na ulcers, kwani nilishawahi kusumbuliwa na peptic ulcers wayback 2004/5 yaani maumivu niliyokuwa nayapata ni wakubwa mno ndio maana nikisikia mwengine anasumbuliwa na ulcers I got the feelings.[emoji25][emoji25][emoji25]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…