Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Akhsante Sana mkuu..Binafsi naelewa ni magumu gani unayopitia kutokana na ulcers, kwani nilishawahi kusumbuliwa na peptic ulcers wayback 2004/5 yaani maumivu niliyokuwa nayapata ni wakubwa mno ndio maana nikisikia mwengine abasumbuliwa na ulcers I got the feelings.[emoji25][emoji25][emoji25]
Naamini nitapona japo kuna muda nahisi Kama nakufa hivi,tumbo linauma vibaya mno.
Pole pia na akhsante kwa kunitia moyo [emoji3526][emoji7]...I really appreciate this [emoji7][emoji847][emoji120]