Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Fam Snacks
20200530_210511.jpg
 
Akhsante Sana mkuu..
Naamini nitapona japo kuna muda nahisi Kama nakufa hivi,tumbo linauma vibaya mno.

Pole pia na akhsante kwa kunitia moyo [emoji3526][emoji7]...I really appreciate this [emoji7][emoji847][emoji120]
Pole sana aisee ulcers sio mchezo. Kaka yangu aliwahi kubahatisha dawa ya kienyeji akapona kabisa japo mtu aliemuuzia walishapotezana. Endelea kusaka dawa unaweza kubahatisha.
 
Pole sana aisee ulcers sio mchezo. Kaka yangu aliwahi kubahatisha dawa ya kienyeji akapona kabisa japo mtu aliemuuzia walishapotezana. Endelea kusaka dawa unaweza kubahatisha.
Akhsante dear[emoji120][emoji120]
Nitaendelea kutafuta dawa
 
Back
Top Bottom