Uzi wa vyakula tu

Hizo ndizo mboga zangu pendwa..
Nyanya chungu hata mtu angenilisha kila siku nakula..
Hosp walivyoniambia Nile bamia kwa wingi nilifurahi maana napenda mlenda Mimi jamani [emoji7]
Aisee! Badi kati ya watoto wa kike 10 wewe ni mmoja unaependa chakula cha namna hiyo

Kongole kwako!
 
Hii kitu ukiiangalia ipo kama yabaridi ila jiloge upige tonge utupie mdomoni bila kupuliza uone

kama utaweza ongea Haya mavyakula ya kula mande huwa ni yamotoo au mboga pilipili hiyooo
Hahaha! Kama ulijua na pilipili ilikuwepo ukicheki pembeni jamaa aliweka na harage la moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…