Uzi wa vyakula tu

Yaani mie msosi kwanza mengine baadae tena napenda nitengeneze mwenyewe

Sent from Ili iweje
 

Attachments

  • IMG_20170619_224001.jpg
    55.8 KB · Views: 485
  • IMG_20170627_100722.jpg
    91.3 KB · Views: 464
  • IMG_20170722_110609.jpg
    85.1 KB · Views: 461
  • IMG_20170627_154440.jpg
    44.4 KB · Views: 487
Kuna kijij nilienda huko Bukoba karibu kabisa na mto Ngono kuna samaki, uzalendo ulinishinda nikaomba sufuria nifanye yangu

Sent from Ili iweje
 

Attachments

  • IMG_20170331_195805.jpg
    66.6 KB · Views: 477
Nilienda garage moja wakati nasubiri gari mafundi walikuwa wanaandaa msosi nikaomba niwaandalie mboga (dagaa, bamia, nyanya chungu na mazagazaga mengine)
Duh ilikuwa hatari

Sent from Ili iweje
 

Attachments

  • IMG_20170815_122946.jpg
    34.8 KB · Views: 781
Hahahahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…