Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Yaani mie msosi kwanza mengine baadae tena napenda nitengeneze mwenyewe

Sent from Ili iweje
 

Attachments

  • IMG_20170619_224001.jpg
    IMG_20170619_224001.jpg
    55.8 KB · Views: 485
  • IMG_20170627_100722.jpg
    IMG_20170627_100722.jpg
    91.3 KB · Views: 464
  • IMG_20170722_110609.jpg
    IMG_20170722_110609.jpg
    85.1 KB · Views: 461
  • IMG_20170627_154440.jpg
    IMG_20170627_154440.jpg
    44.4 KB · Views: 487
Si unaona mwenyewe kitu yenyewe ya Chuku Chuku.

Halafu bila shaka hapo imekolea Ndimu au Limao na Ugali wa Muhogo tena.

Kama ulikuwepo.

Kitu kinateleza tu.

Yaani hata usipotafuna vizuri Tonge linateleza bila wasi.

Ugali wa Muhogo, au ukipenda Bada. Acha tu.

Kuna ule ambao unakuwa kama rangi ya mbao ile iliokolea.

Na kuna ule ambao unakuwa rangi kama Nyeusi si Nyeusi, Kijani si Kijani.

Kiongozi, umenitamanisha sana.

Sijui kwanini umeutaja Ugali wa Muhogo.

Jamani
Hahahahaaaa
 
Back
Top Bottom