Uzi wa vyakula tu

Tabata yote mpaka kinyerezi kuna vijiwe vinafanya maajabu ya misosi, kazimoto ile mishikaki ya nguruwe ni hatari lainiii na ni mitamu
Ubaya wake anaweka maviungo mengi..wale tunaopenda nyama og hatuzitaki kwa sababu tunakua hatupati ile taste yenyewe ya nyama
 
Nime
Nimemmiss huyo chamaki nchanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…