Uzi wa vyakula tu

Kuna maísha niliishi nchi moja inayopakana na nchi nyingine sio Afrika... Tullikula nyama ya punda siku 90 mara tatu kwa siku...mwisho tukawa na harufu ya punda kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha huko yenyewe tumekula sana pofu, funo, swala, muhanga, nungunungu, punda milia, swala, njiwa pori (hawa tulikuwa tunawinda usiku kwa tochi ni rahisi sana) na kondoo za wamasai zenye miloo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…