Mamaaa Angel Nylon anakuja na full packageAnaefahamu namna ya kuandaa makange ya kuku, naomba msaada wa kufahamishwa.
Cc Angel Nylon, Mshana, na wengine wote food lovers [emoji1431]
Mamaaa Angel Nylon anakuja na full package
Kwel tunatifautiana..mi silag hizo kitu kabisa.sipend yan...
Lol.Mamaaa Angel Nylon anakuja na full package
Bike---busy!
Lol.
Hayo yamenishinda kupika najua kuyala tu.
Kuna uzi nafkiri kule kwenye jukwaa la chef walifundisha kupika makange
Msafiri kafiri nimekula sana hizi makitu, hapa kwetu sijabahatika kukutana nayoView attachment 1769407View attachment 1769406View attachment 1769405
mbona kama wadudu?
Ndizi huli mzee? Una allergy au?Kwel tunatifautiana..mi silag hizo kitu kabisa.sipend yan...
Hinilishi
1.uji
2.kande
3.ndizi
Miaka 800
Sijawahi kula hii kitu asee.View attachment 1769959
Moja ya biriani baya kula ilikua hili, wapika mabiriani kuna muda wanatulia tu hela zetu
Hiyo biriani au wali wa rangi?! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]View attachment 1769959
Moja ya biriani baya kula ilikua hili, wapika mabiriani kuna muda wanatulia tu hela zetu
Hiyo biriani au wali wa rangi?! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Hii sasa ni picha ya maharage ugali.Chakula cha taifa
View attachment 1758573