Uzi wa vyakula tu

Majina yote yanatumika.

Ila kuna masela hio bamia wanamaanisha kitu ingine. Kuna watu Sio watu [emoji1787]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Zile za kulia ubwabwa nasema..za njano zile
Nimewaza hivi uchukue uziponde ponde uchanganye na yai alaf ukaange kama chapati au vyovyote vile
Sijui itamake sense kweli ?
Jaribu mkuu maana recipies mpya zinakuja kila siku. Huwezi jua hii yako inaweza kuwa big hit.
 
Bro kila invention unayoona kwenye hii dunia zilianzia kwenye wazo kama hivyo na waliowaza waliona ni ujinga ila waliojiongeza kutekeleza ndio hawa wamiliki wa KFC, MaryBrown na brand zingine.

Ukiwa na wazo usijivunge kaka jiongeze unaweza kuwa umeutema utajiri kwa uoga.
 
Tobaa [emoji134]. At your own risk [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Utakuwa unatengeneza kitu kinafanania na polish potatoes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…