Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Mshana tusaidiane kufanya utafiti. Mi naona asilia zaidi ya 75 ya wana jf kwasasa ni mabachela. Yaani misosi yote inayopostiwa humu ni ya single,huoni dalili kuwa kuna familia.

Mbaya zaidi hata haviwekwi mezani. Vingi utaona tiles tu ndo meza. Nisaidie kugundua hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha nadhani wengi wanaogopa kuonesha mazingira yote
 
Nani mwingine anakula nyama ya kanga?
IMG_20210722_133117_1.jpg
 
Back
Top Bottom