Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

giphy.gif
 
Kuvimba fizi ni ukosefu wa vitamini C.

Style ya vyakula vyako unavyokulaga ni kama tu unakulaga matufali badala ya vyakula.Subiri umri uende kidogo uanze kushambuliwa na magonjwa mbalimbali.
[emoji19]kisa nakula sembe?


Ndiyo ni vit C ndiyo masaa najitahidi kula matunda.
 
[emoji19]kisa nakula sembe?


Ndiyo ni vit C ndiyo masaa najitahidi kula matunda.
Siyo sembe tu.Mbeya ina utamaduni wa hovyo sana wa kula vyakula vya hovyo sana,mara vyakula vingine vya wanga mnaloweka kwanza kwenye maji kwa muda fulani ili kuondoa virutubisho.Ni utamaduni wa hovyo kabisa.

Imagine Mbeya ndiyo inaongoza kwa kuzalisha chakula hapa nchini lakini pia inaongoza kwa tatizo la udumavu.Tumia elimu uliyonayo usalimike kwenye haya masuala ya lishe.
 
Siyo sembe tu.Mbeya ina utamaduni wa hovyo sana wa kula vyakula vya hovyo sana,mara vyakula vingine vya wanga mnaloweka kwanza kwenye maji kwa muda fulani ili kuondoa virutubisho.Ni utamaduni wa hovyo kabisa.

Imagine Mbeya ndiyo inaongoza kwa kuzalisha chakula hapa nchini lakini pia inaongoza kwa tatizo la udumavu.Tumia elimu uliyonayo usalimike kwenye haya masuala ya lishe.
Kitu kama hiyo nimeiona Iringa, wahehe mahindi kabla ya kusagwa, huyavundisha kwenye maji baada ya hapo ndio wanaanika na kusagwa unga, huwo ugali wake ukipikwa unanukia uvundo.
 
Siyo sembe tu.Mbeya ina utamaduni wa hovyo sana wa kula vyakula vya hovyo sana,mara vyakula vingine vya wanga mnaloweka kwanza kwenye maji kwa muda fulani ili kuondoa virutubisho.Ni utamaduni wa hovyo kabisa.

Imagine Mbeya ndiyo inaongoza kwa kuzalisha chakula hapa nchini lakini pia inaongoza kwa tatizo la udumavu.Tumia elimu uliyonayo usalimike kwenye haya masuala ya lishe.
Umetuchamba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukitoa ugali wa hovyo,kingine kipi tunakula Cha hovyo?
 
Back
Top Bottom