Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Chai ipo kwenye damu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chai anza kutumia yale majani mazuri,akina mint tea.Chai ipo kwenye damuView attachment 1863459
Yale nimeyaacha kijijini.Chai anza kutumia yale majani mazuri,akina mint tea.
Yana virutubisho vya msingi sana.Yale nimeyaacha kijijini.
Ningejua kama ni mzuri ningeyatumia Sana.
Kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza.
Bahati mbaya kwenye miti huwa hakuna wajenzi[emoji38],kule tunaona ni kama mapambo tu.
Next time nitajitahidi kuyatumia.Yana virutubisho vya msingi sana.
Mint maporini!!Sidhani labda umefananisha.Maporini humo ninamopita
Labda kama nimeyafananisha
Basi itakuwa nimefananisha.Mint maporini!!Sidhani labda umefananisha.
Huku Kwetu inauzwa kiche sh 500 mpk elfu 1
Sie wengine tukiona chakula tu tunasahau kama kuna diet. Mmweeh.hongera kwa kweli, natamani ningekua mvivu kula ila mwee nina apetite ya kutosha[emoji2]
Hebu yapige kwa kweli. Mint ni dawa hioBasi itakuwa nimefananisha.
Nikipita tena nitajaribu kuyapiga picha .
Vp unaweka na asaliSiyo ile chai yako nyeusi ambayo huwa unakunywaga,hapa anazungumzia mint tea[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1862579View attachment 1862580View attachment 1862582View attachment 1862583
Mboga gani hii?Dona jaman iiiiihView attachment 1726734
Nitajitahidi nipige.Hebu yapige kwa kweli. Mint ni dawa hio