Uzi wa vyakula tu

Hahahaha nadhani wengi wanaogopa kuonesha mazingira yote
 
[emoji23][emoji23][emoji23]labda,ila na misosi ndo iwe sahani moja na kijiko kimoja tu?,halafu meza ni sakafu?

Vijana tuoe jamani.
Hahahaha ushauri mzuri sana.. Je waoaji wapo? Wakuolewa je?[emoji848][emoji16][emoji2827]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…