Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji7][emoji39][emoji39][emoji39]Nawaletea ITALIAN FOOD, waitaliano kwa vyakula ni namba moja duniani tena kwa mapishi mbalimbali ya vyakula wao wanaogoza, wao ni maarufu sana kwa SPAGHETTI (tambi) wenyewe huiita "PASTA" hii tambi yenyewe kuna yakawaida na nyingine wanayoita MACORONI na hutafautiana katika mapishi na mchanganyiko wa viungo mbalimbali na nyama.View attachment 1867509View attachment 1867510View attachment 1867511View attachment 1867512View attachment 1867513View attachment 1867516View attachment 1867518View attachment 1867520
Tena kitamu zaidi ya maelezo
Dah fallen King Jogoo👊
AiseeeeAnayejisikia kula pilau aje nimpe location [emoji4].
View attachment 1867748
Sent using Jamii Forums mobile app
Nirahisi kukipata, ukitembelea Restaurant's hizo(ramani) za Italian foods
Oh AsanteNirahisi kukipata, ukitembelea Restaurant's hizo(ramani) za Italian foodsView attachment 1867771
Saint Anne Mlaji wa pili nitakua mimi!
Sisi tupo wawili..ukija wewe utakuwa wa tatu.Saint Anne Mlaji wa pili nitakua mimi!
Aiseeee nmetaman ningekua within ningekuja
Sasa itabidi ujitoe wewe mwenyeji, nibaki mimi mgeni.Sisi tupo wawili..ukija wewe utakuwa wa tatu.
Karibu boss[emoji4].
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikikuservia sahani Moja tu I'm sure huwezi kumaliza.Aiseeee nmetaman ningekua within ningekuja
Mm na nnavopenda sahan mbili hua znanihusu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Eeh![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa itabidi ujitoe wewe mwenyeji, nibaki mimi mgeni.
Pilau siyo chakula bora ila kwa jinsi ulivyoandaa hii kwa kuweka viazi,kachumbari,juice pamoja na hizo nyanya chungu imekuwa ni chakula bora.Anayejisikia kula pilau aje nimpe location [emoji4].
View attachment 1867748
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalau leo umenisifia[emoji1787]Pilau siyo chakula bora ila kwa jinsi ulivyoandaa hii kwa kuweka viazi,kachumbari,juice pamoja na hizo nyanya chungu imekuwa ni chakula bora.
Siku nyingine ukipika pilau weka mchele kidogo ila kachumbari,nyanya chungu na viazi viwe vingi.Pia hakikisha kuwa mboga za majani zipo kwa wingi bila kusahau matunda.Ukifanya haya basi pilau inakuwa ni chakula bora.
Pilau sawa, nyumba tena! Hapana[emoji112]!Eeh![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au tukuachie na nyumba kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pilau sawa, nyumba tena! Hapana[emoji112]!