Uzi wa vyakula tu

Uma na kisu vinatumikaje hapo....?!

Kwann sio kijiko au ndio wa afrika kaliba yetu ya kupenda kuleta uzungu hata sehemu ambapo tunakuwa tumechanganya utaratibu?!

Me ningeomba kijiko hapo
Mkuu hivyo huwa vipo tu mahotelini utavikuta juu ya Meza,
 
Uma na kisu vinatumikaje hapo....?!

Kwann sio kijiko au ndio wa afrika kaliba yetu ya kupenda kuleta uzungu hata sehemu ambapo tunakuwa tumechanganya utaratibu?!

Me ningeomba kijiko hapo
Itakuwa alitumia kulia na kupunguza ukubwa wa hizo njegere. Nawaza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…