Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Nami nimo
1539118362960.jpeg
 
Ahsanteee mtoto mzuri kwa ushauri.
Najitahidigi sana kufata kanuni za afya ila kwenye nyama nashindwa kuacha.

Ila sili nyama nyingi ni vifinyango vichache tu kutoa hamu.

Ila ngoja nianze kuachana na nyama nyekundu au niwe nakula kwa uchache wake.

Lov u Ms.N
Mahaba niteketeze[emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji23]
 
Back
Top Bottom