Leo sijala biriani naona kama sijala kabisa
Kesho weekend jipikie,me nna mpango wa kupika mwanangu maskini ametamani biriani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo sijala biriani naona kama sijala kabisa
Shwari! Kabisa
Za kapotea
Nitapika Nile na jirani yangu kesho maana kujipikia Nile mwenyewe nimeshindwa kabisaKesho weekend jipikie,me nna mpango wa kupika mwanangu maskini ametamani biriani.
Si mpenzi wa maandazi ila haya yanavutia[emoji39][emoji39][emoji39]
Nitakuja nikusaidie mwenzaNitapika Nile na jirani yangu kesho maana kujipikia Nile mwenyewe nimeshindwa kabisa
Na mkwe wako pia katamani.[emoji5] [emoji5]Kesho weekend jipikie,me nna mpango wa kupika mwanangu maskini ametamani biriani.
Ila walah haya maandazi ni ya first class.
Si mpenzi wa maandazi ila haya yanavutia[emoji39][emoji39][emoji39]
Na mkwe wako pia katamani.[emoji5] [emoji5]
Angalau nami minyoo yangu kesho ifurahie.
Ila walah haya maandazi ni ya first class.
Nimeyatamani sana mkwe
Dah walah,kuna watu wanafaidi...!!Hahahahaha View attachment 973950
Nitashukuru mwenzaNitakuja nikusaidie mwenza
Nipe directionNitashukuru mwenza
Biriani hii hii? Naomba kidogo basi[emoji39]Nitapika Nile na jirani yangu kesho maana kujipikia Nile mwenyewe nimeshindwa kabisa
Ntakutumia kwa picha babes [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Biriani hii hii? Naomba kidogo basi[emoji39]
Hahahahaha View attachment 973950
Hiyo ni omelette?
Halafu nimeona mug ya Starbucks..
Uliwahi kuwa barista hapo?