Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Ukishaikata tayar unaosha kisha unaandaa sufuria yako, weka mafuta kidogo, yakishapata moto unaweka kitunguu, karoti na hoho (zilizokatwakatwa) ukipenda unaweka na thoum kidogo.

Kisha unakoroga koroga vikianza kuiva unaweka tomato paste kidogo (kama unapenda lkn na pia unaweka kulingana na wingi wa kabichi yako) unakoroga kwa dk tatu then unaweka kabichi yako na chumvi na pilipili kama unapenda. Unakoroga ili vichanganyike then utafunika kwa dk 5 -10 ili iive. Baada ya hapo unaipua tayar kwa kula.
Huwa najikuta inaiva mno halafu inakuwa na mamichuzi hata ningeiweka kwa muda mrefu baada ya kuosha. Ni mboga naipenda sana ila huwa sipiki mara nyingi kwa sababu nashindwa kuipika inoge
 
Something is on the way baby...late power 💪🏿 lunch...
66C5CB4B-2CCE-4BFC-8CD7-4365937DC2A3.jpeg
 
Ukitaka isiwe na michuzi uioshe kwanza ndio ukate na pia wakati wa kupika usifunike kwa muda mrefu
Huwa najikuta inaiva mno halafu inakuwa na mamichuzi hata ningeiweka kwa muda mrefu baada ya kuosha. Ni mboga naipenda sana ila huwa sipiki mara nyingi kwa sababu nashindwa kuipika inoge
 
Huwa najikuta inaiva mno halafu inakuwa na mamichuzi hata ningeiweka kwa muda mrefu baada ya kuosha. Ni mboga naipenda sana ila huwa sipiki mara nyingi kwa sababu nashindwa kuipika inoge
Ukiiosha lazima ijae maji. Sijawahi kuosha kabichi na inakuaga nzuri tu.
 
Hawauoshi huo utumbo?

Sasa wasipouosha si utakuwa na mavi mavi au?

Au hayo mavi mavi ndo yanafanya supu iwe nzito na tamu?

Hahahaa aisee!!!
Hawaoshi yeah..hayo mavi mavi ndo yanafanya inakuwa nzito na tamu..

Karibu uswahilini[emoji2] [emoji2]
 
Ukishaikata tayar unaosha kisha unaandaa sufuria yako, weka mafuta kidogo, yakishapata moto unaweka kitunguu, karoti na hoho (zilizokatwakatwa) ukipenda unaweka na thoum kidogo.

Kisha unakoroga koroga vikianza kuiva unaweka tomato paste kidogo (kama unapenda lkn na pia unaweka kulingana na wingi wa kabichi yako) unakoroga kwa dk tatu then unaweka kabichi yako na chumvi na pilipili kama unapenda. Unakoroga ili vichanganyike then utafunika kwa dk 5 -10 ili iive. Baada ya hapo unaipua tayar kwa kula.
Ukiosha haiwi na mchuzi kweli?
 
Back
Top Bottom