Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha I see, nilikuwa najiuliza msukuma gani huyu hapost nguna?Ahahahahaaaaa!
Ahsante sana kwa kuuliza. Naona kuna kitu kimekufanya labda uhisi kuwa mimi si mpenzi wa ugali.
Kiukweli, mimi si mpenzi kabisa wa ugali.
Kwangu sipikagi kabisa. Na siwezi kwenda sehemu eti nikanunua ugali.
Mara moja moja huwa nakula. Ila huwa nafanya hivyo nikiwa kwa watu.
Lakini hata kula yenyewe ni matonge mawili matatu tu ya kuzugia, basi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wasseenge wamenikera sana!
Umeona wapi unabusbiri msosi masaa mawili...halafu watu waliokukuta wanaletewa msosi wao, wanakula na kumaliza, halafu wewe wa kwako bado hauji.
Mbaya zaidi, hao watu wengine wanaoletewa msosi wao, ndo huo huo ambao nawe umeagiza!!!
Ina maana wanafaulisha oda?
Kumnnna zao hao Bata Point.
Fcuk em yesterday, fcuk em today, fcuk em forever.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu we elewa tu nilikua vitaniMahandalizi ya kusimamia ukucha...! K-vant haitaki ligi ujue[emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acheni kunivunja mbavu bwanaMungu wangu jana leo mpaka milele kila siku tusi limeshasetiwa automatically
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasseenge wamenikera sana!
Umeona wapi unabusbiri msosi masaa mawili...halafu watu waliokukuta wanaletewa msosi wao, wanakula na kumaliza, halafu wewe wa kwako bado hauji.
Mbaya zaidi, hao watu wengine wanaoletewa msosi wao, ndo huo huo ambao nawe umeagiza!!!
Ina maana wanafaulisha oda?
Kumnnna zao hao Bata Point.
Fcuk em yesterday, fcuk em today, fcuk em forever.
Pole bwana[emoji3][emoji3][emoji3]Aisee hapa naweza garagaza mtu. Nimechukia. Yamenifika hapa.....[emoji2935][emoji2935][emoji2935][emoji2935][emoji2935]
Wasseenge wamenikera sana!
Umeona wapi unabusbiri msosi masaa mawili...halafu watu waliokukuta wanaletewa msosi wao, wanakula na kumaliza, halafu wewe wa kwako bado hauji.
Mbaya zaidi, hao watu wengine wanaoletewa msosi wao, ndo huo huo ambao nawe umeagiza!!!
Ina maana wanafaulisha oda?
Kumnnna zao hao Bata Point.
Fcuk em yesterday, fcuk em today, fcuk em forever.
Jamani[emoji23] [emoji23]
Imagine, na hapo nilikuwa sijala siku nzima nimepania kwenda hapo Bata Point....
kulikoni batapoint? hakuna msosi
kulikoni batapoint? hakuna msosi
Wasseenge wamenikera sana!
Umeona wapi unabusbiri msosi masaa mawili...halafu watu waliokukuta wanaletewa msosi wao, wanakula na kumaliza, halafu wewe wa kwako bado hauji.
Mbaya zaidi, hao watu wengine wanaoletewa msosi wao, ndo huo huo ambao nawe umeagiza!!!
Ina maana wanafaulisha oda?
Kumnnna zao hao Bata Point.
Fcuk em yesterday, fcuk em today, fcuk em forever.
Their customer service sucks!!!
Fcuk them.
duh! aibu naona mimi niliyetoa location
Aisee hapa naweza garagaza mtu. Nimechukia. Yamenifika hapa.....🤛🤛🤛🤛🤛
Mungu wangu jana leo mpaka milele kila siku tusi limeshasetiwa automatically
Jr[emoji769]
Anger management class inakuhusu kaka angu[emoji23]