Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Ahahahahaaaaa!

Ahsante sana kwa kuuliza. Naona kuna kitu kimekufanya labda uhisi kuwa mimi si mpenzi wa ugali.

Kiukweli, mimi si mpenzi kabisa wa ugali.

Kwangu sipikagi kabisa. Na siwezi kwenda sehemu eti nikanunua ugali.

Mara moja moja huwa nakula. Ila huwa nafanya hivyo nikiwa kwa watu.

Lakini hata kula yenyewe ni matonge mawili matatu tu ya kuzugia, basi.
Haha I see, nilikuwa najiuliza msukuma gani huyu hapost nguna?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasseenge wamenikera sana!

Umeona wapi unabusbiri msosi masaa mawili...halafu watu waliokukuta wanaletewa msosi wao, wanakula na kumaliza, halafu wewe wa kwako bado hauji.

Mbaya zaidi, hao watu wengine wanaoletewa msosi wao, ndo huo huo ambao nawe umeagiza!!!

Ina maana wanafaulisha oda?

Kumnnna zao hao Bata Point.

Fcuk em yesterday, fcuk em today, fcuk em forever.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasseenge wamenikera sana!

Umeona wapi unabusbiri msosi masaa mawili...halafu watu waliokukuta wanaletewa msosi wao, wanakula na kumaliza, halafu wewe wa kwako bado hauji.

Mbaya zaidi, hao watu wengine wanaoletewa msosi wao, ndo huo huo ambao nawe umeagiza!!!

Ina maana wanafaulisha oda?

Kumnnna zao hao Bata Point.

Fcuk em yesterday, fcuk em today, fcuk em forever.

[emoji1495][emoji1495][emoji1495]
 
Wasseenge wamenikera sana!

Umeona wapi unabusbiri msosi masaa mawili...halafu watu waliokukuta wanaletewa msosi wao, wanakula na kumaliza, halafu wewe wa kwako bado hauji.

Mbaya zaidi, hao watu wengine wanaoletewa msosi wao, ndo huo huo ambao nawe umeagiza!!!

Ina maana wanafaulisha oda?

Kumnnna zao hao Bata Point.

Fcuk em yesterday, fcuk em today, fcuk em forever.

Jamani[emoji23] [emoji23]
 
Wasseenge wamenikera sana!

Umeona wapi unabusbiri msosi masaa mawili...halafu watu waliokukuta wanaletewa msosi wao, wanakula na kumaliza, halafu wewe wa kwako bado hauji.

Mbaya zaidi, hao watu wengine wanaoletewa msosi wao, ndo huo huo ambao nawe umeagiza!!!

Ina maana wanafaulisha oda?

Kumnnna zao hao Bata Point.

Fcuk em yesterday, fcuk em today, fcuk em forever.

mama weee!! pole au labda unatoa oda kwa kupiga simu
 
Mungu wangu jana leo mpaka milele kila siku tusi limeshasetiwa automatically

Jr[emoji769]
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Back
Top Bottom