[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]minyoo yangu inaruka na kukanyagana tumboni
Jr[emoji769]
Cc THOMASS SANKARA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]minyoo yangu inaruka na kukanyagana tumboni
Jr[emoji769]
😂🤣😂🤣🤣😂😂 inabidi itulie tuu hakuna namna kwasababu kuna mtu anaumia sana sisi kupost[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]minyoo yangu inaruka na kukanyagana tumboni
Jr[emoji769]
Sante sanaNimesaga siagi Na mayai then nimeweka unga Na baking powder,for hio layer ya chini ya keki.
Layer ya nyama nimechemsha nyama ya kusaga Na spices Na nimepara Carrot wakati nimeshazima moto. Nimesubiri ipoe nimeweka mayai mabichi.
Nimeweka layer ya cake katika trey juu yake layer ya nyama then juu nimeweka hohoo Na mayai mabichi tena alafu nimechoma kwenye oven.View attachment 1028281
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji445]Asante mama[emoji445][emoji445]asantee mama[emoji445]Mimi ni mama View attachment 1028276
Aaaahhh wee mama bado tu uko na mimi sipumuiii jamani[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] inabidi itulie tuu hakuna namna kwasababu kuna mtu anaumia sana sisi kupost
Dah hizo sambusa sasa du[emoji1][emoji1],manda imetengenezwa kwa ufasaha.
Dah minyoo yangu ina depression kwa kuviwaza hivi vyakula.
Dah hizo sambusa sasa du[emoji1][emoji1],manda imetengenezwa kwa ufasaha.
Maandazi nayo dah mkwe mkwe farkhina
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah minyoo yangu ina depression kwa kuviwaza hivi vyakula.
Pilau imechambuka dah,minyoo yangu tulieni,tulieni [emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aya byeeee
Ahahahaha mkwe we haya tu[emoji1]Hadi nimekuskia huku ukipiga kelele minyoo yangu mkwe[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaahhh weee subutu ushaanza kutinganya mambo sasaAya byeeee View attachment 1028484
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji39][emoji39][emoji39][emoji85]Aya byeeee View attachment 1028484