Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Siwatesi wenyewe nawapikia vyakula vyao, ila siku nitayokula mfano samaki wa kuoka basi kila mtu atasema yupo kwenye diet na yeye anataka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani unakunywa maji yenye harufu ya limao for breackfast af mchana unakula hivi... hakika siku yako lazima iwe na masaa zaidi ya 24[emoji1][emoji1][emoji1]

Huwa wanasema "When a woman of the family goes on diet, everybody in the family goes on diet" i hope huwatesi wenzako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siwatesi wenyewe nawapikia vyakula vyao, ila siku nitayokula mfano samaki wa kuoka basi kila mtu atasema yupo kwenye diet na yeye anataka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Friday dish.... Nimeamua hivi cute b[emoji39]
IMG_20190726_141659.jpeg
 
Back
Top Bottom