Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

[emoji847][emoji847][emoji847]
1588099311_1588099311-picsay.jpg
 
Sasa hiyo si unafunga safari kwenda shamba ndipo ukampate huyo kuku, lakini mjini ni kitu full suit. Unaijua Full suit?


*Full suit = Ugali wa muhogo, mboga kisamvu na uji wa unga wa muhogo ( Maeneo mengine wanaita Babu Baba na Mjukuu) [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Hahahaja sawa mkuu, hivyo maisha mazuri na misosi mizuri ipo vijijini
 
Hili pilau mbona kama maji yalikuwa mengi?? [emoji41][emoji41]

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Hadi maji umeona, wejamaa noma sana utakuwa una macho ya Eagle
 
Back
Top Bottom