Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,193
- 27,078
Ooohkey..alafu ukakaanga sio?Limao, soya sauce kidogo, pilipili mtama majani ya kotmir na girigilani kidogo,vitunguu swaum na chumvi.
Nikaweka kwa friji toka mchana mpaka jioni
mama wawili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooohkey..alafu ukakaanga sio?Limao, soya sauce kidogo, pilipili mtama majani ya kotmir na girigilani kidogo,vitunguu swaum na chumvi.
Nikaweka kwa friji toka mchana mpaka jioni
mama wawili
Nilichemsha kwanza kwa hivo viungo.Ooohkey..alafu ukakaanga sio?
Tumeigana ee[emoji3][emoji3]
Wanavundika mihogo cjui kinatokea nn mpaka inakua hvo bt nmeona wanakula unasagwa unga unakua na rang flan hv ukipka ugal unatoka mweusi tii and they eat comfortably
Aisee[emoji134]Wanavundika mihogo cjui kinatokea nn mpaka inakua hvo bt nmeona wanakula unasagwa unga unakua na rang flan hv ukipka ugal unatoka mweusi tii and they eat comfortably
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Leo pishi langu mwenyeweAisee[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Huyu mpishi mzuri Sana...nitamtafuta anifundishe kuzipika sambusa Kama hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
mbwai?