Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaahh nakubali mkuu umetishaNaanza na hiki kiporoView attachment 1485722
Najitahidi niwe muumini wa simpo food inapofika Usiku,
Hii ndiyo mbuzi yako ya siku hizi?
Umesahau kuntag mkuu
Mbona hujantag shangaz? [emoji23][emoji23] Na nlitoa oda mtu akitambaa na wali beans anstue fasta [emoji1787][emoji1787]
[emoji23]Umesahau kuntag mkuu
Hv mkuu kwa wk unakula nyama mara ngap [emoji23][emoji23][emoji23]Kama kawa View attachment 1486010
Kwahyo kwa wk mara 7 sioMara 1 kwa siku mkuu
Mbona hujantag shangaz? [emoji23][emoji23] Na nlitoa oda mtu akitambaa na wali beans anstue fasta [emoji1787][emoji1787]