Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Nimeacha kula mayai but it looks 👌🏾Wapenda chipsi tuhamie kwenye chips mboga mboga 😂😂😂
Kabechi,hoho,kitunguu,karoti,nyanya,na soseji mbili
Au mnaonaje
Cc lizzy,Depal trudie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeacha kula mayai but it looks 👌🏾Wapenda chipsi tuhamie kwenye chips mboga mboga 😂😂😂
Kabechi,hoho,kitunguu,karoti,nyanya,na soseji mbili
Au mnaonaje
Cc lizzy,Depal trudie
Nimeacha kula mayai but it looks 👌🏾
Nilishakula hii lakini haikuwa na soseji, yaani utasahau kabisa kuhusu chips. Ngoja niongezee na soseji...umenitanisha mnooWapenda chipsi tuhamie kwenye chips mboga mboga [emoji23][emoji23][emoji23]
Kabechi,hoho,kitunguu,karoti,nyanya,na soseji mbili
Au mnaonaje
Cc lizzy,Depal trudie
Ngoja nijitahidi maana kuacha chips ni kipengere, ngoja nipunguzeKama unapenda sana chipsi ..fanya namna uache uwe unakula hata mara 1 kwa wiki
Nilijikuta tu nayachukia 2 yrs ago...haswa harufu. Juzi kati kuna mtu akanitengenezea breakfast ya French toast na 🍳 pembeni , bite moja tu nikashindwa kuendelea.😵Kwanin umeacha kula mayai?
Inapikwaje hii? Msaada tafadhali 🤔🤔Wapenda chipsi tuhamie kwenye chips mboga mboga 😂😂😂
Kabechi,hoho,kitunguu,karoti,nyanya,na soseji mbili
Au mnaonaje
Cc lizzy,Depal trudie
Nilijikuta tu nayachukia 2 yrs ago...haswa harufu. Juzi kati kuna mtu akanitengenezea breakfast ya French toast na 🍳 pembeni , bite moja tu nikashindwa kuendelea.😵
Tamu sana jaribuNilishakula hii lakini haikuwa na soseji, yaani utasahau kabisa kuhusu chips. Ngoja niongezee na soseji...umenitanisha mnoo
Kata kabichi size unayopenda na kiasi kutokana na wingi wa mayaiInapikwaje hii? Msaada tafadhali 🤔🤔
Shukran sanaKata kabichi size unayopenda na kiasi kutokana na wingi wa mayai
Hoho kipande
Kitunguu kimoja
Karoti nusu
Chumvi
Nyanya moja ukipenda
Katakata kisha changanya na mayai weka na chumvi na pilipili manga ukipenda
Weka kikaango kwa moto na mafuta yakichemka mwaga kwenye kikaango kisha sambaza halaf punguza moto funika na mfuniko ukiona chini imeshikana pote chukua sahani funika kwenye kikaango ili upande mwingine uive pia kisha acha chukua upawa uwe unagadamiza ili mayai yaive kwa ndani
Kisha itakuwa tayari
Wapenda chipsi tuhamie kwenye chips mboga mboga 😂😂😂
Kabechi,hoho,kitunguu,karoti,nyanya,na soseji mbili
Au mnaonaje
Cc lizzy,Depal trudie