Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Au bado una plans na baba zetu 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Good afternoon.
291932F0-800C-4F6E-A52A-4B7AB424CFF7.jpeg
 
Ww unakuzwa nn mkuu embu tueleze πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Tulia mtoto wangu. Nimekuzidi zaidi ya miaka 25.

Nina mtoto wa miaka 18. Sasa mimi nijikuze na nini? Usipende kuwaquote wazazi wako.

Hilo andazi lenyewe unaweka juu ya daftari. Hujui kujitunza? Tafuta chombo kisafi weka maandazi yako.

Daftari ni kwa ajili ya kujifunzia. Si kiwekeo cha maandazi.
 
Tulia mtoto wangu. Nimekuzidi zaidi ya miaka 25.

Nina mtoto wa miaka 18. Sasa mimi nijikuze na nini? Usipende kuwaquote wazazi wako.

Hilo andazi lenyewe unaweka juu ya daftari. Hujui kujitunza? Tafuta chombo kisafi weka maandazi yako.

Daftari ni kwa ajili ya kujifunzia. Si kiwekeo cha maandazi.
Kumbe umenizidi miaka yote hiyo sasa ya nn kubishana na mwanaume wa chuo na huyo mmama mwenzio Depal 🀣🀣🀣🀣🀣🀣 unateseka ukiwa wapi
 
Huyo hawezi kuwa chuo. Angalia tu daftari, lina hesabu za Basic Mathematics.
Nipo form 2 mkuu, wala hata sijafika form 4

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Utapata tabu sana mtu mzima hovyo
 
Tulia mtoto wangu. Nimekuzidi zaidi ya miaka 25.

Nina mtoto wa miaka 18. Sasa mimi nijikuze na nini? Usipende kuwaquote wazazi wako.

Hilo andazi lenyewe unaweka juu ya daftari. Hujui kujitunza? Tafuta chombo kisafi weka maandazi yako.

Daftari ni kwa ajili ya kujifunzia. Si kiwekeo cha maandazi.
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom