YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
π‘π‘π‘π‘π‘ Naomba usini quoteUna matatizo gani lakini? ππ
Malumbano yameisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π‘π‘π‘π‘π‘ Naomba usini quoteUna matatizo gani lakini? ππ
Daah!. Nimecheka sana.Unaitwa Dr Restart uje kunywa chai
πππππ‘π‘π‘π‘π‘ Naomba usini quote
Malumbano yameisha
Au bado una plans na baba zetu πππππππππππππππππππππ
Ww unakuzwa nn mkuu embu tueleze π π πDaah!. Nimecheka sana.
Kweli bado mtoto. Anakuzwa na maziwa ya Lato, uji na andazi.
Tulia mtoto wangu. Nimekuzidi zaidi ya miaka 25.Ww unakuzwa nn mkuu embu tueleze π π π
Ww unakuzwa na nn mkuu samaki wa 10kMwanafunzi wa chuo anakuzwa na lato ya 500
Hayo matonge manne pembeni ni ya nini? [emoji1]Homemade kisinia View attachment 2626269
Huyo hawezi kuwa chuo. Angalia tu daftari, lina hesabu za Basic Mathematics.Mwanafunzi wa chuo anakuzwa na lato ya 500
Kumbe umenizidi miaka yote hiyo sasa ya nn kubishana na mwanaume wa chuo na huyo mmama mwenzio Depal π€£π€£π€£π€£π€£π€£ unateseka ukiwa wapiTulia mtoto wangu. Nimekuzidi zaidi ya miaka 25.
Nina mtoto wa miaka 18. Sasa mimi nijikuze na nini? Usipende kuwaquote wazazi wako.
Hilo andazi lenyewe unaweka juu ya daftari. Hujui kujitunza? Tafuta chombo kisafi weka maandazi yako.
Daftari ni kwa ajili ya kujifunzia. Si kiwekeo cha maandazi.
Nipo form 2 mkuu, wala hata sijafika form 4Huyo hawezi kuwa chuo. Angalia tu daftari, lina hesabu za Basic Mathematics.
ππTulia mtoto wangu. Nimekuzidi zaidi ya miaka 25.
Nina mtoto wa miaka 18. Sasa mimi nijikuze na nini? Usipende kuwaquote wazazi wako.
Hilo andazi lenyewe unaweka juu ya daftari. Hujui kujitunza? Tafuta chombo kisafi weka maandazi yako.
Daftari ni kwa ajili ya kujifunzia. Si kiwekeo cha maandazi.
Kwa hiyo ni form 4Huyo hawezi kuwa chuo. Angalia tu daftari, lina hesabu za Basic Mathematics.
Unapenda vitaWw unakuzwa na nn mkuu samaki wa 10k
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mapambano ndo kwanza yameanza
Unapenda vita