Uzi wa wenye simu za iPhone

Uzi wa wenye simu za iPhone

Habari wajanja wa mujini,
Kama una cm ya iphone hebu tupia mambo mbali mbali ambayo iPhone inafanya ili tupate maujuzi.Please kama una cm yako ambayo sio IPhone usichangine maana hii Habari ya Iphone tu wengine cm za kariakoo pumzikeni kwanza
Utakuwa unalelewa na shemeji
 
🤣🤣🤣🤣🤣[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Apple yakibabe
Screenshot_20200329-145828.jpeg


K,K
 
Mambo ya iPhone haya
 

Attachments

  • 94AFE3DB-6F53-45AC-B788-32C743988495.png
    94AFE3DB-6F53-45AC-B788-32C743988495.png
    336.8 KB · Views: 11
Simu ya kwanza kua na 3g (iPhone 3gs)
Simu ya kwanza kua na App Store (iPhone 3gs)
Simu ya kwanza kua na voice assistant (iphone 4s)
Simu ya kwanza kua na 3D maps (iPhone 5)
Simu ya kwanza kua na Fingerprint (iPhone 5s)
Simu ya kwanza kutoa flagship mbili kwa wakati mmoja (iPhone 6 & 6+)
Simu ya kwanza kua na 3D touch (iphone 6s & 6s+)
Simu ya kwanza kua na Camera mbili nyuma (iPhone 7plus)
Mbali na kuleta rangi tofauti tofauti kwenye matoleo ya simu tusisahau pia ndio simu pekee yenye ulinzi wa data zako zisidukuliwe kirahisi.

Android wana miujiza yao pia wakiongozwa na Samsung.
[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]



Sent from my iPhone using JamiiForums
Simu ya kwanza kuwa na line 3(itel)
 
Back
Top Bottom