lovely love
JF-Expert Member
- Dec 11, 2013
- 337
- 296
[emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joanah. Njoo huku na techino yako mpauko[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa unalelewa na shemejiHabari wajanja wa mujini,
Kama una cm ya iphone hebu tupia mambo mbali mbali ambayo iPhone inafanya ili tupate maujuzi.Please kama una cm yako ambayo sio IPhone usichangine maana hii Habari ya Iphone tu wengine cm za kariakoo pumzikeni kwanza
UmenenaItabidi Mje na screenshot tuwajue
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mademu wanaodangaaaaa ndio wanaongoza kwa kumiliki iphone.iPhone imeshuka thamani sio kama miaka mitatu iliyopita,, watu siku hizi hawana shobo nazo,, k’koo kibao tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sionagi kipya kwenye hizo simu!iPhone imeshuka thamani sio kama miaka mitatu iliyopita,, watu siku hizi hawana shobo nazo,, k’koo kibao tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Simu ya kwanza kuwa na line 3(itel)Simu ya kwanza kua na 3g (iPhone 3gs)
Simu ya kwanza kua na App Store (iPhone 3gs)
Simu ya kwanza kua na voice assistant (iphone 4s)
Simu ya kwanza kua na 3D maps (iPhone 5)
Simu ya kwanza kua na Fingerprint (iPhone 5s)
Simu ya kwanza kutoa flagship mbili kwa wakati mmoja (iPhone 6 & 6+)
Simu ya kwanza kua na 3D touch (iphone 6s & 6s+)
Simu ya kwanza kua na Camera mbili nyuma (iPhone 7plus)
Mbali na kuleta rangi tofauti tofauti kwenye matoleo ya simu tusisahau pia ndio simu pekee yenye ulinzi wa data zako zisidukuliwe kirahisi.
Android wana miujiza yao pia wakiongozwa na Samsung.
[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mbona naona app za kwenye tecno ndio zimejaa hapo au kuna kingine kipya kipi chq ziada?
Simu ya kwanza kuwa na line 3 Itel.