Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana sana kiukweli wapo vizuri hasa kwenye Camera, huwa nazimiss hapo tuYeah,lakini kwa ubora wako vizuri kwa kweli
Na wewe kadange,hazuiwi mtu.
Tatizo lingine la Samsung zipo delicate sana,na Vifaa vyake ni expensive kulinganisha na iphone.iphone mpaka upasue kioo kweli umeibamiza na vioo vyake ni affordableYeah,lakini kwa ubora wako vizuri kwa kweli
Mimi siwezi kumtaja tecno kwenye ubora
Hebu ngoja ncheke kwanza[emoji23][emoji23] unasema mbele wanatumia sana huwawei? Hivi unaakili wewe? Unachokiongea unakijua au miemko? Fatilia muvi za kizungu ndo utajua cm gani zinatumika sana cheki wasanii wa mbele wengi wanatumia cm gani, uko Australia unaambiaa mashuleni na mitaani ukionekana una cm ya android unaonekana maskiniMimi siwezi tumia,out dated phone mkuu,huu ni ulimwengu wa HUAWEI simu zenye camera, kali. Saivi simu ni camera, iPhone ndio zinaingia bongo ndio maana ushamba mwingi lkn kwa, wenzetu iPhone hazitumiki kivileeee
Iphone ya 2015 inaweza ikarun apps za mwaka huu tena zile updated ambazo hata kwenye cm yako hazikubalikweli mkuu wabongo weng wanatumia iphone za zamani simu ya mwaka 2015 ndo nitumie hapana atleast kuanzia iphone x hayo mengne mataka taka tuu
Hebu ngoja ncheke kwanza[emoji23][emoji23] unasema mbele wanatumia sana huwawei? Hivi unaakili wewe? Unachokiongea unakijua au miemko? Fatilia muvi za kizungu ndo utajua cm gani zinatumika sana cheki wasanii wa mbele wengi wanatumia cm gani, uko Australia unaambiaa mashuleni na mitaani ukionekana una cm ya android unaonekana maskini
Afu iphone inakuwa updated miaka 5. Wacha kujidanganya
Yani iphone ndo king chochote anachofanya cm nyingine lazima waigie
Yani yeye ndo analead maket huyo huawei uingereza sahivi kila kona wanazipiga vita hawazitaki wachache sana ndo wanatumia afu software ya huawei ni copy ya ios afu pia ni mbaya nenda google kaulize upate majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Iphone ya 2015 inaweza ikarun apps za mwaka huu tena zile updated ambazo hata kwenye cm yako hazikubali
Amini nakwambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure mkuu....alafu hiyo sumsung A50 ina Ram 8 GB ila haifikii mziki wa Iphone 6 yenye Ram 2Gb
Sent from my iPhone using JamiiForums
UongoooSure mkuu....alafu hiyo sumsung A50 ina Ram 8 GB ila haifikii mziki wa Iphone 6 yenye Ram 2Gb
Sent from my iPhone using JamiiForums
Uko S series au A series?Yeah,lakini kwa ubora wako vizuri kwa kweli
Naomba iphone moja.Hebu ngoja ncheke kwanza[emoji23][emoji23] unasema mbele wanatumia sana huwawei? Hivi unaakili wewe? Unachokiongea unakijua au miemko? Fatilia muvi za kizungu ndo utajua cm gani zinatumika sana cheki wasanii wa mbele wengi wanatumia cm gani, uko Australia unaambiaa mashuleni na mitaani ukionekana una cm ya android unaonekana maskini
Afu iphone inakuwa updated miaka 5. Wacha kujidanganya
Yani iphone ndo king chochote anachofanya cm nyingine lazima waigie
Yani yeye ndo analead maket huyo huawei uingereza sahivi kila kona wanazipiga vita hawazitaki wachache sana ndo wanatumia afu software ya huawei ni copy ya ios afu pia ni mbaya nenda google kaulize upate majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23]af unakuta una iphone 5 ya laki na nusu, simu ni taste ya mtu.. mtu nina Samsung au Google pixel ya million moja af wewe mwenye iphone 6 ya 250,000 unataka jikompea naye... nna iphone 6 mbili geto ata sizitumii... [emoji23]iphone ni kwanzia iphone 8 plus, iphone Ten na eleven... hauna hizo shut up hizo ni tecno zilizochangamka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hope alimaanisha X = 10, iphone 9 ndio hamna.Hmm! Mzee kuna iphone ten??
Mimi mbona siijui hiyo
Labda useme hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mshamba mmoja hapo juu anaongea habari ya kuinstall appsNapenda voice assistant (iphone 4s) na security
Sent from my iPhone using jamiiForums