Hmm! Mzee kuna iphone ten??
Mimi mbona siijui hiyo
Simu ya kwanza kua na 3g (iPhone 3gs)
Simu ya kwanza kua na App Store (iPhone 3gs)
Simu ya kwanza kua na voice assistant (iphone 4s)
Simu ya kwanza kua na 3D maps (iPhone 5)
Simu ya kwanza kua na Fingerprint (iPhone 5s)
Simu ya kwanza kutoa flagship mbili kwa wakati mmoja (iPhone 6 & 6+)
Simu ya kwanza kua na 3D touch (iphone 6s & 6s+)
Simu ya kwanza kua na Camera mbili nyuma (iPhone 7plus)
Mbali na kuleta rangi tofauti tofauti kwenye matoleo ya simu tusisahau pia ndio simu pekee yenye ulinzi wa data zako zisidukuliwe kirahisi.
Android wana miujiza yao pia wakiongozwa na Samsung.
[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sawa! Mwalimuhahah sasa wewe iite iphone X ila wazungu ata apple wenyewe kwenye launch event waliita iphone ten, we mwalimu wako wa hesabu primary alikufundiaha namba ya kirumi "X" unaitamka X au unaitamka kumi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa amekuta nacheza dream soccer, akalipenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iphone inarun app gani ambayo android haiwezi??????? Ufalaa huu kawaambie waliokuja mjini janaaa... Iphone ishieni kutuma msg na kupokea calls mambo mengine kama games hata za nyokaa hazichezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa amekuta nacheza dream soccer, akalipenda
Nikamwambia download
Alivoanza ikamletea Tsh 36,000/=
Akawa mpole, ye ni kupokea simu na kupiga hata kufyonza nyimbo hawezi[emoji23]
Hizi simu kama pesa unayo flesh ila kama hauna pesa ya mawazo kuwa mpole
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23]sasa hao ndio sielewei, bongo tufanya kitu kwaajili ya kuplease mtu mwingine uonekane una hela and stuff, mtu ana iphone ten af hana hata itunes, nyimbo halipii anafanya kushift kwa pc tu, mtu apps za kulipia hana unakuta ana kiandroid chake cha pemben, wazungu wana brand loyalty unakuta pc ni imac au macbook, ana apple watch, ipods, ipad, yani kila kitu ni apple sa sisi pc Toshiba, simu iphone, earphone za kkoo, chaji ya mwenge, Tv star ex [emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba iphone moja.
Hahha hizo simu tunazipenda wengi tatizo bei
Kwanza uelewe Mm KWA SASA sio mtumiani wa Huawei wala Iphone japo zote nishawahi kutumia kwa vipnd tofauti..... hivyo sipo upande wowote kati ya hizi brand mbili KWA SASA, natumia samsung ambayo kwa sasa haihusiani na hii quote.
Turudi kwenye mada.
Mzee baba ushasema MOVIE tena za KIZUNGU...
Je na yeye akisema MOVIE za KICHINA kwa hio huawei?
Mwingne akaja akasema MOVIE za kikorea kwa Samsung?...
Kila yule lazima atangaze chake au kumsaport mwenzake....
Tuzungumzie hili kwenye maisha ya kawaida....
Maana muvie ni maigizo pia zinatumika kutangaza bidhaa.... movie za mbele kila unachokiona kinatumika basi vingi ni for purpose, specifically bussines purpose.
Binafsi sibishi ya kua iphone ni moja ya brand kubwa sana ya simu, hilo halina ubishi linapelekewa na ubora wa simu zao, kuanzia hardware mpk software..
Apple-iphones ndio simu inaongoza kwa kuingiza mapato makubwa kuliko brand ngingne yyt ya simu duniani....
Nakubali kua iphones ndio brand ya simu inayotoa update kwa simu zao kwa mda mrefu...miaka 5 mda mwingne mpk 6.
Sasa turudi hapa....
Iphone inalalamikiwa na watumiaji hasa kwenye soko la ulaya ya kua...ikitoa update KUBWA mpya, hio update inaifanya simu ya zamani iwe slow KIDOGO kwa makusudi ili mteja ashawishike kununua new model...
Waweza usione utofaut kirahisi ila technically imekua proved hivyo na juzi juzi tuuu wamepigwa faini kwa hilo france.
Iphone inashika nafasi ya 3 kwa mauzo ya simu duniani....
Ikiongozwa na samsung then huawei ambaye anapanda kila mwaka huku samsung na iphone wakiwa wanashuka kimauzo kila mwaka....apple mpk akaamua kufanya discount kwa baadhi ya maeneo.
Hii tuu inaonesha ya kua iphone sio simu inayotumika zaidi duniani LABDA uniambie iphone flani ndio iliuzika sana mwaka flani kuliko MODEL yyt ya simu.
Mfn kwa mwaka jana katika mauzo ya simu zote iphone XR ndio aliongoza.... kwaio hapa anazungumzia model ya simu sio brand, ukija kwenye brand utazungumzia samsung then huawei....
Binafsi ukiniuliza kwa nn iphone baongozi kwa mauzo ya simu zote kwa ujumla... nitakujib ya kua moja ya sbb ni kwamba Hatoi model/matoleo mengi ya simu kama mfn samsung mwenye S-series, Note-series, A-series, J-series(imethitishwa) C-series(imethitishwa)n.k n.k kulingana na hali ya mteja... kuanzia wa juu, wa hali ya kati na wa hali ya chini. Iphone yy anatoa high end tu.. utapambana mwenyewe huko, ndio maana nchi zetu hizi wengi wanatumia za nyuma, refurb au mtumba sbb ya bei.
Huawei hazijazuiwa UK tena juzi tuu hapa wameofautiana na US kwa kitendo cha serikali ua UK kuingia ubia na Huawei wa kuwatenezea miundombinu ya 5G na kuruhusu Huawei ziendelee kuuzwa UK..
Ila sikatai ya kua iphone ndio brand maarufu zaidi UK
Huawei hatumii software copy ya ihpone...
Huawei anatumia android specifically EMUI kwa kuiongezea mbwe mbwe zake kuleta utofauti
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iphone inarun app gani ambayo android haiwezi??????? Ufalaa huu kawaambie waliokuja mjini janaaa... Iphone ishieni kutuma msg na kupokea calls mambo mengine kama games hata za nyokaa hazichezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Tekno ni simu?????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weka samsung hapoo tena hizi A20 sijui zenye RAM 3GB uoneee kama kuna kustuck hapooo..Ngoja nikupe mfano uelewe nilichomaanisha
Katafute mtu mwenye tecno k7 ya mwaka jana hata hiwe ya mwaka huu fresh
Then mtafute mtu mwenye iphone 6s ya 2015
Then download dream leagu soccer la 2020
Ukilipata kwenye tecno k7 (tafuta ata tecno cm) kuna mwekundu mcmbazi unakusubiri
Mfano mwingine
Kadownload hilo game DreamLeague soccer kwenye samsung 10 au 10s(models za juu cjazichezea) li play uone linavyoganda ganda afu nenda kaliplay kwenye iphone ya 2015 tunaongelea cm ya 2015 ina play magem smooth kama imetoka mwezi wa kwanza mwaka huu mkuu kama unabisha tusipoteze wino nenda kafanye uchunguzi huwo utakuja kunipa majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Tekno ni simu?????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weka samsung hapoo tena hizi A20 sijui zenye RAM 3GB uoneee kama kuna kustuck hapooo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikupe mfano uelewe nilichomaanisha
Katafute mtu mwenye tecno k7 ya mwaka jana hata hiwe ya mwaka huu fresh
Then mtafute mtu mwenye iphone 6s ya 2015
Then download dream leagu soccer la 2020
Ukilipata kwenye tecno k7 (tafuta ata tecno cm) kuna mwekundu mcmbazi unakusubiri
Mfano mwingine
Kadownload hilo game DreamLeague soccer kwenye samsung 10 au 10s(models za juu cjazichezea) li play uone linavyoganda ganda afu nenda kaliplay kwenye iphone ya 2015 tunaongelea cm ya 2015 ina play magem smooth kama imetoka mwezi wa kwanza mwaka huu mkuu kama unabisha tusipoteze wino nenda kafanye uchunguzi huwo utakuja kunipa majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Iphone 6 ni flagship..kwanini uifanyie comparison na low end device tena ya tecno?..kwanini usifanyie comparison na Samsung ya mwaka huo 2014...iphone 6 vs S6 edge ndipo utoe conclusion.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iphone 6 ni flagship..kwanini uifanyie comparison na low end device tena ya tecno?..kwanini usifanyie comparison na Samsung ya mwaka huo 2014...iphone 6 vs S6 edge ndipo utoe conclusion.
Sent using Jamii Forums mobile app