Uzinduzi Simba Week: Simba Sc-We are Unstopable

Anachonga sana, sio poa kwa CEO kuwa muongeaji muongeaji tu, hiyo nafasi aifanye mtu wa habari...

CEO ni cheo kikubwa kwenye taasisi yeyote, ajifunze kwa mwenzake Senzo enzi akiwa Simba au hata alipokuwa Yanga...
nakuuliza tena inakuuma?
 
Mnatetea ubingwa gani? Wakati Yanga ndiye bingwa mtetezi wa makombe yoote Tz bara labda utetezi wa mapinduzi cup
 
Anachonga sana, sio poa kwa CEO kuwa muongeaji muongeaji tu, hiyo nafasi aifanye mtu wa habari...

CEO ni cheo kikubwa kwenye taasisi yeyote, ajifunze kwa mwenzake Senzo enzi akiwa Simba au hata alipokuwa Yanga...
Barbra hana cha kujifunza kwako wala kwa Senzo......
 
Hatuna la lusema tunawatazama tu
 
Jezi utengenezee Ulaya wakati Adidas, anawatengenezea jezi Madrid, Asia. Acheni ushamba huo. Mandonga FC.
 
Halafu Aisha atakuwa ni mali ya Abutwalib Mshery, na Habiba atakuwa ni mali ya Nkane Denis!

Imekaaje hiyo!
Msheri akiwa na position gani pale mbele au dimba la kati bwana uto?
 
washamba wamevamia uzi huu wa Simba alafu awaeleweki wanapata maumivu wapi kwenye makalio au tumboni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…