Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu Aisha atakuwa ni mali ya Abutwalib Mshery, na Habiba atakuwa ni mali ya Nkane Denis!Joyce lomalisa okra's wife
nakuuliza tena inakuuma?Anachonga sana, sio poa kwa CEO kuwa muongeaji muongeaji tu, hiyo nafasi aifanye mtu wa habari...
CEO ni cheo kikubwa kwenye taasisi yeyote, ajifunze kwa mwenzake Senzo enzi akiwa Simba au hata alipokuwa Yanga...
nakuuliza tena inakuuma?
Ubingwa wa mapinduzi cupMnarudi kutetea ubingwa wenu upi? Mbumbumbu wakiwa kwenye kiwango Chao huwezi kuwaelewa.
hakuna somo hapo,wewe sio mjumbe wa bodi mpaka umpangie majukumu CEONaona somo limekuwa gumu mzee baba, siku moja utaelewa
Na anaishika mic kwa ustadi mkubwa sanaBarbara pengine ndio CEO anayeongoza kushika mic kuliko maCEO wote nchini...
Barbra hana cha kujifunza kwako wala kwa Senzo......Anachonga sana, sio poa kwa CEO kuwa muongeaji muongeaji tu, hiyo nafasi aifanye mtu wa habari...
CEO ni cheo kikubwa kwenye taasisi yeyote, ajifunze kwa mwenzake Senzo enzi akiwa Simba au hata alipokuwa Yanga...
Erriksen kajiunga lini Man U?Next week usajili. Pre-season lini sasa?
Hatuna la lusema tunawatazama tuView attachment 2309778
View attachment 2309892
Leo ni uzinduzi rasmi wa Simba Week, tuna mambo mengi kwenye wiki hii.
"Msimu huu tunarudi kwa nguvu, tunarudi kutetea ubingwa wetu na slogan yetu ni WE ARE UNSTOPPABLE - HATUSHIKIKI – HATUZUILIKI.- CEO Barbara
Zoezi la usajili bado linaendelea. Wiki ijayo timu yetu ya digital itaanza kutangaza wachezaji wengine.- CEO Barbara.
Kesho mtajua tofauti ya mdhamini na msaada. Tutakuwa na tukio na mdhamini wetu mpya, kampuni ya M-Bet."
"Wachezaji ambao tunawasajili sio wa sandakalawe, ni wachezaji muhimu kwenye vikosi vyao hivyo kunakuwa na ugumu kuwapata, inabidi kuzungumza na vilabu vyao ili kuwashawishi."- Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally.
Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu amesema jezi za timu hiyo msimu wa 2022/23 zitazinduliwa wiki hii na zitatengezwa Ulaya badala ya Asia.
Hata tukikuelewa wachache inatosha.ni mpumbavu tu anayeishi bila malengo.
imekuuma?
Jezi utengenezee Ulaya wakati Adidas, anawatengenezea jezi Madrid, Asia. Acheni ushamba huo. Mandonga FC.View attachment 2309778
View attachment 2309892
Leo ni uzinduzi rasmi wa Simba Week, tuna mambo mengi kwenye wiki hii.
"Msimu huu tunarudi kwa nguvu, tunarudi kutetea ubingwa wetu na slogan yetu ni WE ARE UNSTOPPABLE - HATUSHIKIKI – HATUZUILIKI.- CEO Barbara
Zoezi la usajili bado linaendelea. Wiki ijayo timu yetu ya digital itaanza kutangaza wachezaji wengine.- CEO Barbara.
Kesho mtajua tofauti ya mdhamini na msaada. Tutakuwa na tukio na mdhamini wetu mpya, kampuni ya M-Bet."
"Wachezaji ambao tunawasajili sio wa sandakalawe, ni wachezaji muhimu kwenye vikosi vyao hivyo kunakuwa na ugumu kuwapata, inabidi kuzungumza na vilabu vyao ili kuwashawishi."- Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally.
Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu amesema jezi za timu hiyo msimu wa 2022/23 zitazinduliwa wiki hii na zitatengezwa Ulaya badala ya Asia.
Msheri akiwa na position gani pale mbele au dimba la kati bwana uto?Halafu Aisha atakuwa ni mali ya Abutwalib Mshery, na Habiba atakuwa ni mali ya Nkane Denis!
Imekaaje hiyo!
Hawa auMandonga fc