Uzinduzi Simba Week: Simba Sc-We are Unstopable

Uzinduzi Simba Week: Simba Sc-We are Unstopable

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20220731_113121.jpg

20220731_12464236478.jpg

Leo ni uzinduzi rasmi wa Simba Week, tuna mambo mengi kwenye wiki hii.

"Msimu huu tunarudi kwa nguvu, tunarudi kutetea ubingwa wetu na slogan yetu ni WE ARE UNSTOPPABLE - HATUSHIKIKI – HATUZUILIKI.- CEO Barbara

Zoezi la usajili bado linaendelea. Wiki ijayo timu yetu ya digital itaanza kutangaza wachezaji wengine.- CEO Barbara.

Kesho mtajua tofauti ya mdhamini na msaada. Tutakuwa na tukio na mdhamini wetu mpya, kampuni ya M-Bet."

"Wachezaji ambao tunawasajili sio wa sandakalawe, ni wachezaji muhimu kwenye vikosi vyao hivyo kunakuwa na ugumu kuwapata, inabidi kuzungumza na vilabu vyao ili kuwashawishi."- Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally.

Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu amesema jezi za timu hiyo msimu wa 2022/23 zitazinduliwa wiki hii na zitatengezwa Ulaya badala ya Asia.
 
View attachment 2309778
Leo ni uzinduzi rasmi wa Simba Week, tuna mambo mengi kwenye wiki hii.

"Msimu huu tunarudi kwa nguvu, tunarudi kutetea ubingwa wetu na slogan yetu ni WE ARE UNSTOPPABLE - HATUSHIKIKI – HATUZUILIKI.- CEO Barbara
Mnarudi kutetea ubingwa wenu upi? Mbumbumbu wakiwa kwenye kiwango Chao huwezi kuwaelewa.
 
View attachment 2309778
Leo ni uzinduzi rasmi wa Simba Week, tuna mambo mengi kwenye wiki hii.

"Msimu huu tunarudi kwa nguvu, tunarudi kutetea ubingwa wetu na slogan yetu ni WE ARE UNSTOPPABLE - HATUSHIKIKI – HATUZUILIKI.- CEO Barbara

Zoezi la usajili bado linaendelea. Wiki ijayo timu yetu ya digital itaanza kutangaza wachezaji wengine.- CEO Barbara.
Kwa wachezaji gani?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom