Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Ilani ya ACT–Wazalendo, Kutoa Ajira mpya milioni 10. Zitto asema CCM ilitekeleza 31% ya ilani ya mwaka 2015

Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Ilani ya ACT–Wazalendo, Kutoa Ajira mpya milioni 10. Zitto asema CCM ilitekeleza 31% ya ilani ya mwaka 2015

ACT wana uhakika wa majimbo 18 Pemba wakioteza na moja la bara la Zitto 19. CDM wataambulia bara majimbo 5 tena hapo wamepambana haswaa, Lissu mvuto umeshakufa na pesa ya amsha amsha hana hivyo usitegemee atapata kura nyingi za kuongeza idadi ya viti maalum CDM.
Ndio nmekwambia CUF ilikua na wabunge wengi 2015 usichoelewa ni kipi? Issue ni kwamba CHADEMA walau ina uhakika wa kupata kura minimum elfu 2 mpaka 5 kwa majimbo 214 ya bara kitu ambacho sio ACT wala CUF wanaweza.

Viti maalum ndio vitaamua KUB haijalishi CHADEMA itakua na mbunge mmoja au sifuri maana ndio viliamua KUB 2010 na 2015 so sio kitu kigeni unless umeanza fuatilia siasa mwaka huu.
 
Ndio nmekwambia CUF ilikua na wabunge wengi 2015 usichoelewa ni kipi? Issue ni kwamba CHADEMA walau ina uhakika wa kupata kura minimum elfu 2 mpaka 5 kwa majimbo 214 ya bara kitu ambacho sio ACT wala CUF wanaweza.

Viti maalum ndio vitaamua KUB haijalishi CHADEMA itakua na mbunge mmoja au sifuri maana ndio viliamua KUB 2010 na 2015 so sio kitu kigeni unless umeanza fuatilia siasa mwaka huu.

Si kweli kuwa CUF walikuwa wana wabunge wengi wa kuchaguliwa 2015 zaidi ya CDM, CDM walizidi kwa vyote, ongezea pia kigezo kikubwa cha kutafuti idadi ya viti maalum ni idadi ya majimbo mliyoshinda cha pili ndio idadi ya kura za Rais.

Kingine tambua CCM wanataka ACT ndio iwe chama kikuu cha upinzani na itakuwa hivyo.
 
Si kweli kuwa CUF walikuwa wana wabunge wengi wa kuchaguliwa 2015 zaidi ya CDM, CDM walizidi kwa vyote, ongezea pia kigezo kikubwa cha kutafuti idadi ya viti maalum ni idadi ya majimbo mliyoshinda cha pili ndio idadi ya kura za Rais. Kingine tambua CCM wanataka ACT ndio iwe chama kikuu cha upinzani na itakuwa hivyo.

Mkuu kabla ya Lema kuchaguliwa CUF ilikua tie na CHADEMA ila kura za ubunge chadema ilikua na million zaidi ya 5 sasa hapo ndio gap lilipokua.

*Viti maalum ikazoa zaidi ya 35+ maana *ujanja ni kura kila jimbo sio idadi ya wabunge.

*Hata mdee akishindwa lets say ana kura elfu 60 ni sawa na majimbo 10 ya pemba hayo so mpka hapo ACT inapunjwa viti maalum inaweza ambulia kimoja au viwili.

Pona yao waungane ila wakigawana atakayeumia ni ACT maana huko bara yaani nyanda za juu kusini, kaskazini, maziwa makuu, kanda ya kati n.k hawana uwezo wa kubeba hata kata moja ndio sembuse KUB?

Siasa ni namba tu mkuu unless tume ifanye yake majimboni
 
Nani kakuambia ameenda mchana ?😎
Ametua KIA asubuhi.

Aisee ni kweli bwana, kapanda ndege ya serikali bombardier
Screenshot_2020-08-31-15-29-41.png
 
Si kweli kuwa CUF walikuwa wana wabunge wengi wa kuchaguliwa 2015 zaidi ya CDM, CDM walizidi kwa vyote, ongezea pia kigezo kikubwa cha kutafuti idadi ya viti maalum ni idadi ya majimbo mliyoshinda cha pili ndio idadi ya kura za Rais. Kingine tambua CCM wanataka ACT ndio iwe chama kikuu cha upinzani na itakuwa hivyo.

Hizi habari nyengine hua mnadanganyana vijiwe gani?

CCM wamewaekea na pingamizi na wengine kuwafuta wagomebea wa ACT 18 Pemba, wa 5 Unguja, na Zaidi ya 50 bara. Hivi kweli CCM wanataka ACT ndio iwe chama kikuu cha upinzani?
 
Hizi habari nyengine hua mnadanganyana vijiwe gani?

CCM wamewaekea na pingamizi na wengine kuwafuta wagomebea wa ACT 18 Pemba, wa 5 Unguja, na Zaidi ya 50 bara. Hivi kweli CCM wanataka ACT ndio iwe chama kikuu cha upinzani?

Kuwa chama kikuu cha upinzani inamaanisha kuwazidi wabunge CDM tu, hata kama ACT wakiwa na wabunge 7 na CDM 3 tayari lengo limetimia.
 
Hawa ACT wametulia Sana hawana papara kabisa
 
Kuhusu TBC kutoalikwa, wakati tunawalaumu wapinzani kwa kuwachunia TBC, pia tuwachunguza na wao TBC,huenda na wao wanakosea mahali. Tuwe fair ktk hili.
 
ZZK na ACT Wazalendo ni wale wale vibaraka koko
Ulisaidia wezi ili ndege zetu zikamatwe na hata ukapinga Tanzania tusipiwe fedha kutoka Banki ya Dunia.
Bora ungetulia ukaomba dua labda Kigoma watakuonea huruma upate angalau ubunge .

Kaa kimya kijana Zitto na tulia kazi ya wakubwa inaendelea.

Rais wa Tanzania ni Mhe. Dr. Magufuli
Naunga mkono uliyoongea na pia sijaona tofauti kati ya Chadema na ACT kwa upumbavu wao kupiga marufuku TBC chombo cha habari cha nchi kinachofikiwa na watu wengi hii ni akili ya kutu kuozesha chuma bila kukila
 
..hiyo haiondoi ukweli kwamba atcl inaliingizia taifa hili HASARA.

..hoja siyo nani anapanda ndege hizo, au nani hapandi.
Sasa kama wewe hutaki ndege acha sisi wapanda ndege tufaidi wewe endelea kupanda mabus au malori. Wewe huwezi jua faida ya ndege kwa kuwa hazikuhusu!
 
Kuwa chama kikuu cha upinzani inamaanisha kuwazidi wabunge CDM tu, hata kama ACT wakiwa na wabunge 7 na CDM 3 tayari lengo limetimia.

Kuwa na wabunge wengi Zaidi majimboni bado haijawa hoja ya kuwa chama kikuu cha upinzani, acha mihemuko mkuu
 
Huyu naye vipi? Yaani TBC wanasubiri kualikwa! Mara ya mwisho nilifikiri TBC ni chombo cha habari, tena cha umma na kina waandishi wa habari wanaotakiwa kutafuta taarifa na kutuletea sisi wananchi tunaowalipa. Kumbe wanasubiri kualikwa ili waende 'harusini' 🤔
 
Yeye Zitto Kabwe ametekereza mangapiii pale kigoma? Waha halingumu saaana, waha wako kariibu na ziwa Tanganyika, lakini, kuanzia gungu, masanga, nazareti, mwanga n.k .n.k.

Hamna atatone la maji kama hunakisima unahali mbayaaa huku zito akishinda mahakamani na makesi yasiyoisha na kuuuterekeza mkoa wa Kigoma.
 
Back
Top Bottom