Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
- #21
Mkuu wa mkoa Singida:
Tangu kuzinduliwa kwa kampeni hii sisi wanasingida tulianza kufanya maandalizi.
Ofisi ya mkuu wa mkoa imekuwa ikitoa ikitoa huduma za kisheria kwa kushirikiana na TLS.
Tumekuwa tukitoa msaada wa kisheria kwa kushirikiana na taasisi takribani 9.
Tumejipanga vizuri maana tupo na watoa huduma sehemu mbalimbali mkoani singida.
Kampeni hii kwetu ni fursa.
Kampeni hii itakuwa chachu ya maendeleo katika mkoa wetu. Imani yetu kuwa kampeni hii itaweka mazingira ya kuwafanya wananchi wasiwe na hofu.
Ofisi yangu ilipewa taarifa kuwa msisitizo utakuwa katika
Haki za wanawake na watoto, Utatuzi wa migogoro kwa njia mbadala nk.
Mkoa wa singida umeendelea kuunga mkono hatua za Rais za kuondoa unyanyasaji wa kijinsia.
Kuzindua kampeni hii ni uthibitisho tosha kuwa Rais anapenda haki. Haki huinua taifa. Tunampongeza mh. Rais.
Baada ya uzinduzi wa kampeni hii utekelezaji wa kampeni hii utakiwa wa kiwango.
Tangu kuzinduliwa kwa kampeni hii sisi wanasingida tulianza kufanya maandalizi.
Ofisi ya mkuu wa mkoa imekuwa ikitoa ikitoa huduma za kisheria kwa kushirikiana na TLS.
Tumekuwa tukitoa msaada wa kisheria kwa kushirikiana na taasisi takribani 9.
Tumejipanga vizuri maana tupo na watoa huduma sehemu mbalimbali mkoani singida.
Kampeni hii kwetu ni fursa.
Kampeni hii itakuwa chachu ya maendeleo katika mkoa wetu. Imani yetu kuwa kampeni hii itaweka mazingira ya kuwafanya wananchi wasiwe na hofu.
Ofisi yangu ilipewa taarifa kuwa msisitizo utakuwa katika
Haki za wanawake na watoto, Utatuzi wa migogoro kwa njia mbadala nk.
Mkoa wa singida umeendelea kuunga mkono hatua za Rais za kuondoa unyanyasaji wa kijinsia.
Kuzindua kampeni hii ni uthibitisho tosha kuwa Rais anapenda haki. Haki huinua taifa. Tunampongeza mh. Rais.
Baada ya uzinduzi wa kampeni hii utekelezaji wa kampeni hii utakiwa wa kiwango.