Elections 2010 Uzinduzi wa Kampeni Za CCM - from ITV

Elections 2010 Uzinduzi wa Kampeni Za CCM - from ITV

siku ya kwanza tu hivi. Hivi huyu ana ugonjwa gani jamani. Dhoofu hali
 
Naona Mwinyi, Mkapa na Makamba wanashauriana
 
nasikia tarehe kama hii 2005 jamaa alikwenda chini hapa hapa Jangwani..wot a shock inaonekana wazee wamezindika sehemu hii
 
Umati bado Umeduwaa . . . . . Dk sheini anaondoka
 
Atuambie siri ya ugonjwa wake, kama Watanzania tunastahili kujua.....
 
Hivi CCM wanaweza kumteua mgombea mwengine kama JK atashindwa kuendelea na kampeni?
 
kamanda si mashindano . . . . nadhani wanahamasishana . . .
Nilifikiri unatuletea habari za mashindano ya mziki maana habari zako nyingi zinahusu kina mamelody TOT kopa Dokii kumbe ni mkutano wa kampeni.
 
Jamani hiyo ni ku beep tu. Slaa yuko safarini kwenda Magogoni! Vile vibibi vizee anatembea akiambana navyo havipo?
 
Mbona mheshimiwa Karume anafurahi tu????
 
Shein amerudi. Anateta na Bilali na Karume
 
Wakulu, ni kama ratiba imesimama hivi. Naona Makamba, Msekwa na Mwinyi wanateta.

SASA JK Anarudi
 
Breaking News:- JK ameanguka chini kwa mara nyingine pale Jangwani. Bado hatujajua hali yake.
 
Dah hapa vikao vidogo vidogo ..jakaya anarudishwa hapa
 
Back
Top Bottom