Zanzibar 2020 Uzinduzi wa kampeni za CCM Zanzibar: Mwinyi kuhakikisha Zanzibar inanufaika na bahari, kuleta Upendo na amani

Zanzibar 2020 Uzinduzi wa kampeni za CCM Zanzibar: Mwinyi kuhakikisha Zanzibar inanufaika na bahari, kuleta Upendo na amani

Natamani kuoa picha 🙂 🙂 🙂 🙂 vile watu wanasombwa saa hii kutoka bububu, mpakanjia, mchambawima, kibandabamaiti, mwanakwerekwe and the like.😎
this time hamtoboi
Umetaja maeneneo ya karibu mbona, watu wamesombwa kuanzia kusini mwa Unguja yaani Makunduchi waende wakaongeze idadi. Halafu sasa, wengi wao sio wapiga kura, wanafuata shangwe na kuhunika na watoto wa watu. Mzee wewe kama una gari yako, nenda tawini ukachukua flana za ccm na mafuta full tank unaekewa!

Mwaka huu CCM kifo cha mende Zanzibar!
 
Zanzibar Mmetisha saana💥💥💥
IMG-20200912-WA0063.jpg
 
Propaganda, Mwinyi anakubalika na anakwenda kushinda. Msikilize sasa anazungumza kisha tuje tujadili kama hajui kuongea na amekua waziri wa wizara nyeti
Huyo anaeleta ubaguzi kua eti mwinyi sio mzanzibar endele kujijaza ujinga.Mhe Rais Mstaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya pili Mzee wetu Ally Hassan Mwinyi alikua sio mzanzibar?? sio aliemzaa Dr.Mwinyi acheni siasa za maji taka.
 
Huyo anaeleta ubaguzi kua eti mwinyi sio mzanzibar endele kujijaza ujinga.Mhe Rais Mstaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya pili Mzee wetu Ally Hassan Mwinyi alikua sio mzanzibar?? sio aliemzaa Dr.Mwinyi acheni siasa za maji taka.
Mwinyi ni mzanzibari halisi kabisa
Chagua CCM
Chagua Dr. Hussein Mwinyi
Chagua Magufuli
#Anakubalika
#MtuWaWatu
#YajayoNineemaTu
#KuraYaNdiyoKwaMwinyi
#KuraYaNdiyoKwaMagufuli
#Mwinyi2020[emoji736]
#TwendeNaMwinyi
@ccm_tanzania
@hpolepole
@SuluhuSamia
@DrHmwinyi
@MagufuliJP
 
Umetaja maeneneo ya karibu mbona, watu wamesombwa kuanzia kusini mwa Unguja yaani Makunduchi waende wakaongeze idadi. Halafu sasa, wengi wao sio wapiga kura, wanafuata shangwe na kuhunika na watoto wa watu. Mzee wewe kama una gari yako, nenda tawini ukachukua flana za ccm na mafuta full tank unaekewa!

Mwaka huu CCM kifo cha mende Zanzibar!
Mkijaamka toka kwenye ndoto zenu za mchana Mwinyi ndio atakua anatoa hutoka kama Rais wa Zanzibar, endeleeni na propaganda mwinyi anatoa sera uko
 
Zanzibar tumejipanga mwaka huu wataisoma hao Wazandiki Act-Wazalamo 🤣
2020 tunaenda na Dk Mwinyi

Yule mliyemlazimisha 2015 atangaze matokeo kwani bado yupo au? Maana bila tume ccm haijawahi kushinda znz
 
Tupe nafasi ya kuamua uchaguzi,bado uwanja uwe na usawa.
Chagua CCM
Chagua Dr. Hussein Mwinyi
Chagua Magufuli
#Anakubalika
#MtuWaWatu
#YajayoNineemaTu
#KuraYaNdiyoKwaMwinyi
#KuraYaNdiyoKwaMagufuli
#Mwinyi2020[emoji736]
#TwendeNaMwinyi
@ccm_tanzania
@hpolepole
@SuluhuSamia
@DrHmwinyi
@MagufuliJP
 
Natamani kuoa picha 🙂 🙂 🙂 🙂 vile watu wanasombwa saa hii kutoka bububu, mpakanjia, mchambawima, kibandabamaiti, mwanakwerekwe and the like.😎
this time hamtoboi
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2020-09-12 at 14.18.53.jpeg
    WhatsApp Image 2020-09-12 at 14.18.53.jpeg
    126.7 KB · Views: 2
Back
Top Bottom