Zanzibar 2020 Uzinduzi wa kampeni za CCM Zanzibar: Mwinyi kuhakikisha Zanzibar inanufaika na bahari, kuleta Upendo na amani

Zanzibar 2020 Uzinduzi wa kampeni za CCM Zanzibar: Mwinyi kuhakikisha Zanzibar inanufaika na bahari, kuleta Upendo na amani

Uwanja umejaaa na viongozi wanapendeza sana
IMG-20200912-WA0135.jpg
 
Uzinduzi mahili uliojaa sera nzuri na matumaini mapya ya wa zanzibar na Tanzania kwa ujumla ni mshikamano mkubwa wenye matumaini Bora CCM itashinda zanzibar kwa asilimia kubwa
IMG-20200912-WA0024.jpg
 
Hivi kwa umri alionao mzee maalim seif anawaambia watu wajiandae kwa ajili ya kupigana yeye anaweza kupigana na nani?
Au ndio anataka kutoa wazanzibari kafara?
Hajawa raisi anawaambia watu wajiandae kuvuruga amani ya nchi, akiwa raisi itakuwaje?
Kimsingi mpaka hapo ameshapoyeza sifa zote za kuwa raisi wa Zanzibar.
Dr. Mwinyi ndiye anyestahili kuwa raisi wa Zanzibar.
Ni mpole,
Ni mstahimilivu
Hana kasoro yoyote

Seif anamadeni kibao 150m kabla hajawa raisi akiwa raisi sindo atakopa mpaka nchi ishindwe kuyalipa baadae
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2020-09-12 at 15.59.49.jpeg
    WhatsApp Image 2020-09-12 at 15.59.49.jpeg
    113.9 KB · Views: 2
Uchaguzi wa Zanzibar ni atakae shinda Pemba ndio mshindi, ni mbinu ambayo Maalim Seif amekuwa akiitumia miaka mingi na haijawahi na sidhani kama mwaka huu itamuangusha, pia kwa kupitia mgeni huyu Dr Huseni Mwinyi.
 
Nimemsikiliza vizuri Dkt A.M.SHEIN ameeleza kwa uzuri sana vilevile amewakumbusha wazanzibari kuhusu mapinduzi sitaki kwenda mbali sana nataka na Mimi niendelee kusisitiza jambo au sifa za mgombea URaisi kwa upande wa zanzibari ,, wakati ameteuliwa nilijaribu kufanya uchunguzi kuhusu mgombea huyu na kukuta ni mtu safi ambaye hana skendo yoyote,,,ni mstaarabu wazanzibar wasio itakia mema nchi yetu kama maalimu seif hapaswi kua kiongozi[emoji1241]
IMG-20200912-WA0034.jpg
IMG-20200912-WA0023.jpg
 
Uchaguzi wa Zanzibar ni atakae shinda Pemba ndio mshindi, ni mbinu ambayo Maalim Seif amekuwa akiitumia miaka mingi na haijawahi na sidhani kama mwaka huu itamuangusha, pia kwa kupitia mgeni huyu Dr Huseni Mwinyi.

Dkt Hussein sio mgeni wa siasa ila kwa sasa yupo kwenye level ya juu zaidi.
Maalim hana jipya sana zaidi ya vurugu na uzoefu wake ni wa vurugu na sio siasa.
Maalim amezoea kushindwa hana jipya
 
Back
Top Bottom