UZINDUZI WA KITABU: Lissu asuswa na kupuuzwa na wanaharakati wenzake

UZINDUZI WA KITABU: Lissu asuswa na kupuuzwa na wanaharakati wenzake

Kitabu cha Mh. TUNDU lISSU kimezinduliwa huko Kenya . watu maarufu waliokuwepo katika uzinduzi huo ni pamoja na Msalia Mdavadi mwanasiasa marufu huko Kenya tafauti na vitabu vya watu wengine mashuhuri waliozindua vitabu vyao cha Tundu Lissu kimetia fora kwa sababu softcopy pekee zilizoisha nunuliwa ni zaidi ya copy 3000, sijui hardcopy ametoa ngapi na ambazo zitavamiwa tu zitaisha kwa maana ingine kitabu cha Tundu Lissu ni hotcake kama hisa za CRDB kwenye soko la hisa ambazo hata counter huwa hazifiki zinanunuliwa juu kwa juu.

Hii ni kutokana na kitabu hicho kimejaa matukio ikiwa pamoja na kupigwa risasi 16 halafu bado anaishi. Pia wameshauri Mh. Lissu awe kivutio cha utalii nchini kwake waje watalii wafike wamwone mtu aliyepigwa risasi 16 bado akapona.


Alipigwa risasi zaidi ya 16, risasi 16 ndizo zilizotolewa mwilini.---- kweli God is Supreme.
 
..wabunge, wanasheria, na majaji mbalimbali wa Kenya walihudhuria uzinduzi wa kitabu.

..mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

..Nani angeweza kuandika kitabu akiwa ktk hali ya ugonjwa,ulemavu, na kunusurika kuuwawa, kama Tundu Lissu?

 
..jioni ya september 7, 2017 nani angeamini kuwa Lissu ataishi na kuja kuandika kitabu?

..sasa hivi tulitakiwa tuwe tunasoma kitabu alichoandika KATILI ambaye watu wake waliamini ataishi milele.
... kuongea kwenyewe akaeleweka ni tatizo ndio aandike kitabu, tena kwa academic language? My foot! Kuandika sentensi moja twitter ikaeleweka ni issue ndio iwe kitabu cha more than 300 pages with hundreds of citations connecting thousands of ideas! My ass!
 
Mwinyi na Mkapa walijaa kitaifa kwa kuwa Raid ndiye alikuwa mgeni rasmi.Hivyo huwezi linganisha na nafasi ya lissu kwa maraisi wastaafu.
Kikubwa ni ujumbe uliondani.
Lissu hata angezindulia chumbani kwake lakini kikitoka nje unajua kaandika nini kitaifa na kimataifa.

Ulichoandika hakishawishi watu wasusie kununua,Wewe ungeungana na mwendazake hata kisizinduliwe.ROHO MBAYA NA UMRI HUO.
 
... kuongea kwenyewe akaeleweka ni tatizo ndio aandike kitabu, tena kwa academic language? My foot! Kuandika sentensi moja twitter ikaeleweka ni issue ndio iwe kitabu cha more than 300 pages with hundreds of citations connecting thousands of ideas! My ass!

..kama Jiwe aliandika Thesis ikapita, kweli unaamini TL atashindwa kuandika kitabu wakati kuna wahariri?



.
 
Lisu siku zote hususwa!

Tuseme yeye ni fungu la kukosa
Kususwa na kuawa ndiyo chakula cha wasaliti kote duniani.
Kuna kuna Mwanasiasa, anayewasumbua vichwa Mataga wa Lumumba ni T.LISSU.

Najua mnajua, hamna mwana CCM mwenye akili kumshinda Lissu HAMNAAAAA

Hilo liko wazi na mnajua.

Mfano mzuri, angalieni Bunge lenu ,kuanzia Spika mpaka mbunge, VILAZA VILAZA TUPUUUU
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri. Ama baada ya salam sasa niende kwenye mada husika. Kama ilivyozoeleka huko nyuma, swala la uzinduzi wa vitabu hasa kwa viongozi wetu lilikuwa ni la uwazi, ambapo kila mtu bila kujali vyama alilifatilia mwanzo mwisho. Wakati wa uzinduzi wa kitabu cha hayati mzee Mkapa watu mbali mbali nchini, na nje ya nchi walifatilia na wengine kuandika na hata kuweka picha na video za uzinduzi huo. Kadhalika na kwa mzee wetu Mwinyi wakati wa uzinduzi wa kitabu chake watu mbali mbali walifatilia uzinduzi huo na kupelekea mechi kubwa ya Yanga na Simba kuahirishwa kutokana na tukio hilo, pia watu wa kada mbali mbali, vyama mbali mbali na mataifa mbali mbali walifatilia wakiwemo walioandika hapa yale yaliozungumzwa au kunakiri baadhi ya maneno yalioandikwa ndan ya kitabu chake hapa JF. Lakini sasa naona imekuwa tofauti kabisa kwa huyu jamaa ambaye ni raisi wa mioyo ya wanachadema. Toka mipango ya uzinduzi inafanyika na mpaka uzinduzi wenyewe kufanyika jana, bado watu au naweza kusema wanahatakati wenzie hawakuonesha support yoyote kwake, kuanzia katika ufatiliaji hadi uandikaji wa kilichozungumzwa wakati wa uzinduzi kama ilivyofanyika kwa wazee wetu niliowataja hapo juu. Haijulikani tatizo ni nchi aliyokwenda kuzindulia au kwa vile uzinduzi wenyewe ulikosa baraka za mwenyechama ambae ndio mwenyekiti? Ikumbukwe kuwa Tundu Lisu anaonesha wazi kumkubali "bimkubwa" na yupo tayari kufanya nae kazi, kitu ambacho viongozi wenzake wanaona kama vile ni msaliti na ni tishio kwa masilahi yao ya kisiasa, kwahiyo wameshaanza kumtelekeza kiaina. Mwanaharakati aliefatilia uzinduzi wa kitabu cha Lisu na kilichongelewa kwenye uzinduzi atujuze hapa.
Mpuuzi sana wewe. Wanaharakati gani walioalikwa wakapuuza? Unakariri Mambo kwa upeo wako huo wa mita 1.
 
26 June 2021

Siasa Za Kanda: Mahojiano ya ana kwa ana na mwanasiasa wa upinzani Tanzania Tundu Lissu

 
Kuna kuna Mwanasiasa, anayewasumbua vichwa Mataga wa Lumumba ni T.LISSU.

Najua mnajua, hamna mwana CCM mwenye akili kumshinda Lissu HAMNAAAAA

Hilo liko wazi na mnajua.

Mfano mzuri, angalieni Bunge lenu ,kuanzia Spika mpaka mbunge, VILAZA VILAZA TUPUUUU
Akili yake imeleta nini mkuu!

Hata Msukuma anamshinda
 
..kama Jiwe aliandika Thesis ikapita, kweli unaamini TL atashindwa kuandika kitabu wakati kuna wahariri?



.
... thesis iliyompoteza Saa8? Hamna kitu mle usanii tu. Kuna thread moja nilim-challenge Elitwege alikuwa ana-expose ujinga kuhusu kitabu cha Lissu aweke thesis ile humu tuisome aliishia kutukana tu! Tetesi ni kwamba katika historia ya taaluma Tanzania hapajawahi kutokea plagiarism ya kiwango cha kutisha kama kile na haitegemewi kutokea kwa kizazi hiki!
 
Lisu siku zote hususwa!

Tuseme yeye ni fungu la kukosa
Mshamba wenu amekufa Hana kitabu wala karatasi aliyoandika hapa Tanzania...
Nyerere,mwinyi,mkapa, kikwete hawa wote wameacha alama(vitabu)
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Kitabu cha Mh. TUNDU lISSU kimezinduliwa huko Kenya . watu maarufu waliokuwepo katika uzinduzi huo ni pamoja na Msalia Mdavadi mwanasiasa marufu huko Kenya tafauti na vitabu vya watu wengine mashuhuri waliozindua vitabu vyao cha Tundu Lissu kimetia fora kwa sababu softcopy pekee zilizoisha nunuliwa ni zaidi ya copy 3000, sijui hardcopy ametoa ngapi na ambazo zitavamiwa tu zitaisha kwa maana ingine kitabu cha Tundu Lissu ni hotcake kama hisa za CRDB kwenye soko la hisa ambazo hata counter huwa hazifiki zinanunuliwa juu kwa juu.

Hii ni kutokana na kitabu hicho kimejaa matukio ikiwa pamoja na kupigwa risasi 16 halafu bado anaishi. Pia wameshauri Mh. Lissu awe kivutio cha utalii nchini kwake waje watalii wafike wamwone mtu aliyepigwa risasi 16 bado akapona.
Mpuuzi tu. Eti lissu awe kivutio cha utalii. Hakika hii inamfaa maana siasa ameshindwa. Inafaa awe kama mnyama tu lidudu fulani. Mtu gani siasa ni uongo tu uzushi tu na chuki. Wale wanamuona lissu ni mwanasiasa au mwanaharakati bora hua nawashangaa.
 
Back
Top Bottom